fundimchundo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2010
- 609
- 898
Kila viongozi na wanachama wa Chadema wanapokamatwa na polisi, umaarufu wa CDM unaongezeka, huku CCM ikiporomoka.
Viongozi wakuu wa Polisi wanalijua hili. Kwa nini wanaliendeleza?
Kuwakamata Nassari, aka DogoJanja, Heche na wengine ni kuzidi kuipaisha CDM na kuizika CCM.
Lengo la Kamanda Mwema kwa CCM ni lipi? KUIUA KABLA YA 2015?
Viongozi wakuu wa Polisi wanalijua hili. Kwa nini wanaliendeleza?
Kuwakamata Nassari, aka DogoJanja, Heche na wengine ni kuzidi kuipaisha CDM na kuizika CCM.
Lengo la Kamanda Mwema kwa CCM ni lipi? KUIUA KABLA YA 2015?