jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,075
- 684
Kuna tetesi kuwa polisi wanapita mitaani wakikuta watu wanajadili siasa wanawakamata et wanatishia usalama wa nchi!!!!
hivi ni kwel nchi hiii tumefikia huko?
Tumefikia hatua ya kuwanyima raia kuelimishana wao kwa wao?
Kuwanyima raia uhuru wa kuongea na kutoa maoni yao?
Kwakwel serikal ya CCM mmechoka na kifupi kwa mbinuu hii mnawapa upinzani credit bila kujua......kwa uonevu huu hatutakubal na aman ya tanzania ikipotea wa kulaumiwa n jeshi la polis na serikal ya CCM, hivi polis hamufikiriii nje ya box?
Hii hiii serikal ya CCM imewafanya maboya mnaishi nyumba mbovu,vibanda umiza...mnafanya kaz mazingira magumu lakin bado mnawang'ang'ania na kuwaona ccm n wa maana!
Jiongezen jamani, fikirieni mnayoyafanya yatagharim vizazi vingi sana pamoja na watoto wenu,what will happen ikiwa UKAWA WATASHINDA?
hivi ni kwel nchi hiii tumefikia huko?
Tumefikia hatua ya kuwanyima raia kuelimishana wao kwa wao?
Kuwanyima raia uhuru wa kuongea na kutoa maoni yao?
Kwakwel serikal ya CCM mmechoka na kifupi kwa mbinuu hii mnawapa upinzani credit bila kujua......kwa uonevu huu hatutakubal na aman ya tanzania ikipotea wa kulaumiwa n jeshi la polis na serikal ya CCM, hivi polis hamufikiriii nje ya box?
Hii hiii serikal ya CCM imewafanya maboya mnaishi nyumba mbovu,vibanda umiza...mnafanya kaz mazingira magumu lakin bado mnawang'ang'ania na kuwaona ccm n wa maana!
Jiongezen jamani, fikirieni mnayoyafanya yatagharim vizazi vingi sana pamoja na watoto wenu,what will happen ikiwa UKAWA WATASHINDA?