Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Just imagine kuwa kama Maxence Melo angeuza hisa zake DSE, na watu elfu hamsini wakajitokeza kununua hisa... Je mambo yakibuma huku wangeweza kukamata wanahisa wote na kuwasweka ndani?
Hizi rabsha rabsha zikiendelea namshauri kaka Melo kuuza hisa DSE ili polisi wakose wa kumkamata...
Hizi rabsha rabsha zikiendelea namshauri kaka Melo kuuza hisa DSE ili polisi wakose wa kumkamata...