Kamata fursa kwa mtajiii mdogo sana wa 50000 tu.

Daichii

Member
Jul 11, 2013
91
24
FURSA FURSA FURSA
Habari. Nakuomba kama wewe ni mjasiriamali utenge muda wako kidogo upitie ujumbe huu.

Icharity Club ni foundation ambayo imeanzishwa December 2015 nchini Marekani. Lengo la hii foundation ni kusaidia jamii yenye matatizo mbali mbali kama vile waliokumbwa na baa la njaa, matetemeko ya ardhi, mafuriko, watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na magojwa mbalimbali kama vile HIV na Cancer.

Lakini pia Icharity Club ni foundation ambayo inasaidia KUIMARISHA UCHUMI hata kuondoa UMASIKINI wa kila mmoja duniani kote.

Kwakua lengo ni kusaidia Icharity imetoa mfumo wa bure ambao unawezakusimamia mwanachama kuingiza kipato. Mfano unaweza ukabofya referal link yangu hapo chini.

iCharity Club - Registration

Hiyo link inaniwezesha mimi kuangalia mfumo wangu. Na wewe unaweza kuifungua ili kujiunga na fursa hii. Lakini pia unaweza kubofya hii iliyopo chini kupata elimu zaidi juu ya hii fursa

NAMNA MFUMO WA ICHARITY UNAVYO FANYA KAZI

Kanuni kuu ya icharity ni UTOAJI. Yaani ni mchango kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine nasio kwenda icharity. Mfumo utasimamia utoe kwanani nawe utatumiwa na nani.

Yaani ni hiviiii wewe ukimtumia mtu mmoja, wewe utatumiwa na watu watano. Ambao nao watapokea kutoka kwa watu watano kila mmoja. Na hapo utakuwa umemaliza daraja la kwanza(D 1)

Mfumo utakueleza utoe kwa nani mwingine ili na wewe sasa utumiwe na watu 25 kwakupanda daraja la pili (D 2). Yaanii platform ya watu watano watano bila kujali wapo kona gani ya dunia cha msingi wawe wameitambua hii fursa kama wewe na waitende haki.

Sasa tuangalie hii fursa kwa ukubwa. Ukishirikisha watu watano MAKANI.

Daraja 1:- 5 x 50,000=Tsh 250,000/=
Ilikupanda daraja 2 mfumo utakuelekeza utoe Tsh 100, 000/= kwa aliyemshirkisha aliyekushirikisha

Daraja 2:- 5x5=25x100, 000=Tsh 2, 500, 000/=
Ilikupanda daraja 3 mfumo utakuelekeza utoe kwa nani Tsh 200, 000

Daraja 3:- 25x5=125x200, 000=Tsh 25m
Ilikupanda Daraja la 4, utatakiwa kutoa 400, 000

Daraja 4:-125x5=625x400, 000= Tsh 250m
Ilikupanda daraja la 5, utatoa Tsh 800, 000

Kama unavyoona pesa ninyingi na madaraja yapo mpaka mwisho la 10 (Kwa lugha ya kigeni inaitwa 5 x 10 matrix )

Hivyo ni mabillioni ya pesa. Ambayo yanatokana na timu yako inavyo panda madaraja. Ilikufanikiwa ni muhim kushirikiana na kusaidiana.


Kupunguza ujumbe usiwe mrefu sanaaa....

kwanini ni HALALI na sio UTAPELI

Sababu imelenga kusaidiana kati ya mtu na mtu na hakuna mtu kati.

Sio lazima uchangie kwanza, unaweza ukaunganishwa na mfumo ili kujiridhisha bure, ila akaunti ya mtu ambaye hakutoa hudumu kwa siku 3 Tu.

Hakuna bidha inayouzwa bali niutoaji. Kama msaada.

Kupanda daraja ni hiyari yako binafsi hakuna atakaye kulazimisha kama ilivyo kujiunga tu.

Wanachama wanautumia mfumo bure bila makato yoyote.

Hakuna mtu anayeshika wala kutunza pesa ya mtu isipokuwa wahusika wenyewe.

KWANINI NAKUHIMIZA UJIUNGE MAPEMA.

Sababu bado ni fursa mbichi sana ndio kwanza imeanza December 2015 hivyo nafasi yakufanikiwa kwa haraka ni kubwa mno.

Ni fursa inayokuwezesha kuingiza kipato kutoka kona yoyote ya dunia. Hivyo ni fursa ya kimataifa.

Haihitaji uisimamie. Upo mfumo wa bure.

Huitaji utaalam ila utayari wakujiunga tu.

Kazi yako ni kushirikisha watu watano makini tu. Baada ya hapo nikwasaidia na wao ili muweze kufanikiwa mapema

Ukihitaji kujua kuhusu hatua za kujiunga. Wasiliana na aliye kushirikisha fursa hii au aliyekutumia ujumbe huu.

"DUNIA NI YA MVIRINGO, WAKATI WENGINE KWAO NI USIKU WENGINE KWAO NI MCHANA. USIPO JIFUNZA KUTENGENEZA PESA UKIWA UMELALA, UTATENGEZA KWA JASHO MILELE.


PM for those interested
 
UPATU wana JF tuogope kama ukoma!!!nakushauri tumia hiyo fursa mwenyewe uwe tajiri
 
Nilikutana na mtu mmoja akawa ananiambia hii habari nikacheka tu na kumuuliza hii aidea mbona haiuziki hata kidogo maana unagenerate pesa kutoka wapi hapo.

Tuwe tunatoa vitu tangible sio vitu ambavyo ni ngumu hata kueleweka.
 
Nilikutana na mtu mmoja akawa ananiambia hii habari nikacheka tu na kumuuliza hii aidea mbona haiuziki hata kidogo maana unagenerate pesa kutoka wapi hapo.

Tuwe tunatoa vitu tangible sio vitu ambavyo ni ngumu hata kueleweka.
Hii ni club sio kampun....so watu wanatakiwa kutofautisha kat ya business entity na club au societies.....na club mapato yake ni donations....so izo donations zinakuwaje ndio somen iyo status hapo juu mtaelewa huo mfumo wa kudonate member kwa member
 
FURSA FURSA FURSA
Habari. Nakuomba kama wewe ni mjasiriamali utenge muda wako kidogo upitie ujumbe huu.

Icharity Club ni foundation ambayo imeanzishwa December 2015 nchini Marekani. Lengo la hii foundation ni kusaidia jamii yenye matatizo mbali mbali kama vile waliokumbwa na baa la njaa, matetemeko ya ardhi, mafuriko, watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na magojwa mbalimbali kama vile HIV na Cancer.

Lakini pia Icharity Club ni foundation ambayo inasaidia KUIMARISHA UCHUMI hata kuondoa UMASIKINI wa kila mmoja duniani kote.

Kwakua lengo ni kusaidia Icharity imetoa mfumo wa bure ambao unawezakusimamia mwanachama kuingiza kipato. Mfano unaweza ukabofya referal link yangu hapo chini.

iCharity Club - Registration

Hiyo link inaniwezesha mimi kuangalia mfumo wangu. Na wewe unaweza kuifungua ili kujiunga na fursa hii. Lakini pia unaweza kubofya hii iliyopo chini kupata elimu zaidi juu ya hii fursa

NAMNA MFUMO WA ICHARITY UNAVYO FANYA KAZI

Kanuni kuu ya icharity ni UTOAJI. Yaani ni mchango kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine nasio kwenda icharity. Mfumo utasimamia utoe kwanani nawe utatumiwa na nani.

Yaani ni hiviiii wewe ukimtumia mtu mmoja, wewe utatumiwa na watu watano. Ambao nao watapokea kutoka kwa watu watano kila mmoja. Na hapo utakuwa umemaliza daraja la kwanza(D 1)

Mfumo utakueleza utoe kwa nani mwingine ili na wewe sasa utumiwe na watu 25 kwakupanda daraja la pili (D 2). Yaanii platform ya watu watano watano bila kujali wapo kona gani ya dunia cha msingi wawe wameitambua hii fursa kama wewe na waitende haki.

Sasa tuangalie hii fursa kwa ukubwa. Ukishirikisha watu watano MAKANI.

Daraja 1:- 5 x 50,000=Tsh 250,000/=
Ilikupanda daraja 2 mfumo utakuelekeza utoe Tsh 100, 000/= kwa aliyemshirkisha aliyekushirikisha

Daraja 2:- 5x5=25x100, 000=Tsh 2, 500, 000/=
Ilikupanda daraja 3 mfumo utakuelekeza utoe kwa nani Tsh 200, 000

Daraja 3:- 25x5=125x200, 000=Tsh 25m
Ilikupanda Daraja la 4, utatakiwa kutoa 400, 000

Daraja 4:-125x5=625x400, 000= Tsh 250m
Ilikupanda daraja la 5, utatoa Tsh 800, 000

Kama unavyoona pesa ninyingi na madaraja yapo mpaka mwisho la 10 (Kwa lugha ya kigeni inaitwa 5 x 10 matrix )

Hivyo ni mabillioni ya pesa. Ambayo yanatokana na timu yako inavyo panda madaraja. Ilikufanikiwa ni muhim kushirikiana na kusaidiana.


Kupunguza ujumbe usiwe mrefu sanaaa....

kwanini ni HALALI na sio UTAPELI

Sababu imelenga kusaidiana kati ya mtu na mtu na hakuna mtu kati.

Sio lazima uchangie kwanza, unaweza ukaunganishwa na mfumo ili kujiridhisha bure, ila akaunti ya mtu ambaye hakutoa hudumu kwa siku 3 Tu.

Hakuna bidha inayouzwa bali niutoaji. Kama msaada.

Kupanda daraja ni hiyari yako binafsi hakuna atakaye kulazimisha kama ilivyo kujiunga tu.

Wanachama wanautumia mfumo bure bila makato yoyote.

Hakuna mtu anayeshika wala kutunza pesa ya mtu isipokuwa wahusika wenyewe.

KWANINI NAKUHIMIZA UJIUNGE MAPEMA.

Sababu bado ni fursa mbichi sana ndio kwanza imeanza December 2015 hivyo nafasi yakufanikiwa kwa haraka ni kubwa mno.

Ni fursa inayokuwezesha kuingiza kipato kutoka kona yoyote ya dunia. Hivyo ni fursa ya kimataifa.

Haihitaji uisimamie. Upo mfumo wa bure.

Huitaji utaalam ila utayari wakujiunga tu.

Kazi yako ni kushirikisha watu watano makini tu. Baada ya hapo nikwasaidia na wao ili muweze kufanikiwa mapema

Ukihitaji kujua kuhusu hatua za kujiunga. Wasiliana na aliye kushirikisha fursa hii au aliyekutumia ujumbe huu.

"DUNIA NI YA MVIRINGO, WAKATI WENGINE KWAO NI USIKU WENGINE KWAO NI MCHANA. USIPO JIFUNZA KUTENGENEZA PESA UKIWA UMELALA, UTATENGEZA KWA JASHO MILELE.


PM for those interested
 
Terms na condition hizi hapa tusome

Terms and Conditions

By signing up for membership, you agree to the following Terms, Conditions and Disclaimers :

This service is provided on an as is, as available service. We make no warranties of any kind, either expressed or implied.Under no circumstances, including negligence, shall we, or anyone else involved in creating, producing or distributing this service, be liable for any direct, indirect, incidental, special or consequential damages that result from the use of, or inability to use this service, and all the files and software contained within it, including, but not limited to, reliance on any information obtained through this service; or that result from mistakes, omissions, interruptions, deletion of files or e-mail, errors, defects, viruses, delays in operation, or transmission, or any failure of performance, whether or not limited to acts of God, communications failure, theft, destruction or unauthorized access to our records, programs or services.We reserve the right to add or remove features and functionality, make changes on how the platform works, manage memberships, within this site, and otherwise make changes to the service and this agreement without notice.We may terminate without notice, atour sole discretion, any membership deemed to be in breach of this agreement or otherwise found to be abusing or misusing the service, or harassing the other members or administrator in any way.In the unlikely event that this program should ever terminate it's operations, it's creator, operators, employees, assigns and successors shall not be held liable for any loss whatsoever to our members.Sites and individuals involved with the following activities are NOT ELIGIBLE: selling, providing or linking to unlicensed content, pornography, warez, pirated software, hacking or spamming software, email address lists or harvesting software, or any materials endorsing violence, hatred, revenge, racism, victimization, or criminal activity.We make no claims on how much money you can make with our program. Your ability to earn depends on a number of factors, including where and how (and how often) you advertise the program, and the motivation and ability of those in your uplines, to make referrals. Individual results will vary.Members caught spamming or otherwise causing harm to our program will have their accounts terminated, and maybe prosecuted for their actions. We will investigate all allegations before taking action.All sales are final. No refunds.You understand that all donations will be made to you from our payment processors, and that any problems you have concerning such matters should be taken up with your respective merchant account provider.You agree to accept email updates regarding iCharity Club program. We will never inundate you with emails or spam.
 
Back
Top Bottom