epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 80
JF thinkers. Hivi:
1. Kwanini pua inatokwa na 'kamasi' pale unapokula chakula chenye pili pili? (inanitokea mimi, na huwa si mpenzi wa pilipili sasa sijui kama hii ni kweli kwa waliozoea vyakula vya pilipili)
2. Kwanini watoto wanapenda kuingiza kidole puani na kulamba? (I know it is disgusting but I am just wondering)
Unaweza kufikiria ni kwasababu gani 'this is the case physiologically? Is there a possible advantage to the being that you can think of?
1. Kwanini pua inatokwa na 'kamasi' pale unapokula chakula chenye pili pili? (inanitokea mimi, na huwa si mpenzi wa pilipili sasa sijui kama hii ni kweli kwa waliozoea vyakula vya pilipili)
2. Kwanini watoto wanapenda kuingiza kidole puani na kulamba? (I know it is disgusting but I am just wondering)
Unaweza kufikiria ni kwasababu gani 'this is the case physiologically? Is there a possible advantage to the being that you can think of?