Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 848
- 1,212
CCM wapo katika nyakati ngumu katika kupitisha mgombea wa Urais ambaye anakubalika na Wananchi kwa upande mmoja na watawala kwa upande mwingine. Tathmini inaonesha kuwa wagombea ni wawili tu Yaani anayekubalika na watawala ambao ni Membe, Sitta Mwandosya, Sumaye, Kigwangala, Mwigulu,Wasira Muhongo na Makongoro ambao hawa wanaweza kuunganisha nguvu zao dhidi ya EL ambae sio chaguo la watawala.
Kwa hali hii na utashi wa kimazingira wajumbe karibia wote wa CCM hauwaamini katika dhana ya kupambana na rushwa kwa sababu ni sehemu ya maisha yao, kwa kifupi mgombea atakayeweza kuhonga zaidi wajumbe ndie mwenye nafasi ya kushinda na kupitishwa ambapo EL anabeba ushindi katika hili ukilinganisha na Mgombea wa watawala Makongoro N.
Kumpitisha EL kutahatarisha uhai wa CCM kwa kuwa kundi la wapinga ufisadi halitakuwa salama, like wise kumtosa EL na kumpitisha Makongoro kutaibua vita kubwa na kupelekea CCM kuvunjika vipandevipande, lakini pia kupoteza ushawishi kwa voters, hii inatokana na EL kuwaandaa kisaikolojia Wananchi na wana CCM kuwa yeye ndie mgombea pekee wa CCM anayefaa. Hii ni kamari ambayo vyoyote vile utakavyoicheza lazima kuliwa.
Kwa hali hii na utashi wa kimazingira wajumbe karibia wote wa CCM hauwaamini katika dhana ya kupambana na rushwa kwa sababu ni sehemu ya maisha yao, kwa kifupi mgombea atakayeweza kuhonga zaidi wajumbe ndie mwenye nafasi ya kushinda na kupitishwa ambapo EL anabeba ushindi katika hili ukilinganisha na Mgombea wa watawala Makongoro N.
Kumpitisha EL kutahatarisha uhai wa CCM kwa kuwa kundi la wapinga ufisadi halitakuwa salama, like wise kumtosa EL na kumpitisha Makongoro kutaibua vita kubwa na kupelekea CCM kuvunjika vipandevipande, lakini pia kupoteza ushawishi kwa voters, hii inatokana na EL kuwaandaa kisaikolojia Wananchi na wana CCM kuwa yeye ndie mgombea pekee wa CCM anayefaa. Hii ni kamari ambayo vyoyote vile utakavyoicheza lazima kuliwa.