Jana nimemsikia Mwenyekiti wa Waendesha Daladala jijini Mwanza anaitishia serikali kwamba wasipowaondoa Waendesha Bajaji eneo la Buzuruga ataitisha mgomo mara moja!
Ni ajabu sana huyu mtu kubaki uraiani mpaka sasa, anaitishia serikali yeye kama nani?
Kuna watu wameanza kuleta dharau za kipumbavu baada ya JPM kufariki hizi dharau hazikuepo
Unataka waendesha bajaji waondolewe eneo la buzuruga ili wapelekwe wapi? kwako au?
Halafu jamaa anaongea kwa dharau kabisa eti anatoa masaa 72, unatoa saa72 kwa serikali? RPC upo tu umeangalia? OCD upo tu?
Huyu mtu awekwe ndani hata miezi miwili apate adabu.
Ni ajabu sana huyu mtu kubaki uraiani mpaka sasa, anaitishia serikali yeye kama nani?
Kuna watu wameanza kuleta dharau za kipumbavu baada ya JPM kufariki hizi dharau hazikuepo
Unataka waendesha bajaji waondolewe eneo la buzuruga ili wapelekwe wapi? kwako au?
Halafu jamaa anaongea kwa dharau kabisa eti anatoa masaa 72, unatoa saa72 kwa serikali? RPC upo tu umeangalia? OCD upo tu?
Huyu mtu awekwe ndani hata miezi miwili apate adabu.