Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,576
- 217,939
Inasemekana jeshi la Polisi lilishaelekezwa kumlinda Lipumba pamoja na wajumbe wake kwa udi na uvumba , jeshi la polisi lilitakiwa kuhakikisha " MKUTANO MKUU " Unafanyika ili kumvua ukatibu mkuu Maalim Seif pamoja na kuwepo kesi Mahakamani kuhusu uhalali wa uenyekiti wa Lipumba , ambayo hukumu yake ni March 18.
Sasa viongozi wa juu wanashangazwa na Kiherehere cha Polisi kuzuia mkutano huo ( ambao hata hivyo unafanyika kibabe baada ya wakubwa kuubariki ) , inasemekana ni lazima Maalim Seif avuliwe uongozi kabla ya hukumu .
Kamanda aliyeidhinisha katazo hilo atarudishwa makao makuu
Tutaendelea kuwaletea hujuma zote zinazofanyika kwa kadiri ya wajumbe waadilifu watakavyokuwa wanatuvujishia
Sasa viongozi wa juu wanashangazwa na Kiherehere cha Polisi kuzuia mkutano huo ( ambao hata hivyo unafanyika kibabe baada ya wakubwa kuubariki ) , inasemekana ni lazima Maalim Seif avuliwe uongozi kabla ya hukumu .
Kamanda aliyeidhinisha katazo hilo atarudishwa makao makuu
Tutaendelea kuwaletea hujuma zote zinazofanyika kwa kadiri ya wajumbe waadilifu watakavyokuwa wanatuvujishia