Tunkamanin
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 951
- 865
TAFUTA NENO KIKAO KWENYE SENTENSI ZANGU, UKILIONA NITAG NITAKUJIBU
TAFUTA NENO KIKAO KWENYE SENTENSI ZANGU, UKILIONA NITAG NITAKUJIBU
Baadae tutakuita ueleze ulikoitoa taarifa hiisisi watoa taarifa tu mkuu , usikeshe kwa waganga kuniroga bure ! mhusika ni Lipumba
mjumbe hajawahi kuuawa
huyu alijaribu kutumia weredi baada ya kupata malalamiko kutoka kwa Maalim Seif .
Maalim selfu nae apumzike tu mambo mengine unatakiwa ukubali matokeo mzee huyu kauhangaikia urais lakn hadi sasa daaa haya maisha haya nadhani hata kikwete kamtangulia ila leo kikwete ni rais mstaafu dunia haiko fair aiseHaki huinua taifa kiukweli figisu zinazofanywa dhidi ya cuf maalim seif ni uonevu mkubwa ni kama dhuluma yoyote,hata hivyo jiwe na hatokaa apate amani moyoni mwake
alivyoanza awamu yake tulidhani ni mtu wa haki kumbe anapuyanga tu kweli tumeliwa utawala haufati sheria au haki looooh maskini TanzaniaDunia inafuatikia kwa karibu mno. Huu ni ushahidi mwengine kuwa utawala huu unavuruga nchi na miiko. Mahakama inajaribu kuibeba nchi kama muhimili wa dola. Serikali inamfadhiki Lipumba na kuharibu taswira ya nchi. Huko ndani mamlaka zinabishana. Mara RPC anakuja na maagizo, mara Lipumba anapiga simu kwa waluomtuma. Mara anarudi tena Aibu tuu.
Pole sana.TAFUTA NENO KIKAO KWENYE SENTENSI ZANGU, UKILIONA NITAG NITAKUJIBU