Tetesi: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala aliyezuia mkutano wa Lipumba "kushughulikiwa"

Maliyamungu wa Tanzania ndugu Daud Arbaty Bashite ndiye Sumu ya maendeleo kwa sasa endapo CCM wangejitoa mhanga wamkatae nina imani hata mtukufu malaika toka chato ataweza kuzinduka na kuachana na udikteta uchwara.
 
Haki huinua taifa kiukweli figisu zinazofanywa dhidi ya cuf maalim seif ni uonevu mkubwa ni kama dhuluma yoyote,hata hivyo jiwe na hatokaa apate amani moyoni mwake
Maalim selfu nae apumzike tu mambo mengine unatakiwa ukubali matokeo mzee huyu kauhangaikia urais lakn hadi sasa daaa haya maisha haya nadhani hata kikwete kamtangulia ila leo kikwete ni rais mstaafu dunia haiko fair aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia inafuatikia kwa karibu mno. Huu ni ushahidi mwengine kuwa utawala huu unavuruga nchi na miiko. Mahakama inajaribu kuibeba nchi kama muhimili wa dola. Serikali inamfadhiki Lipumba na kuharibu taswira ya nchi. Huko ndani mamlaka zinabishana. Mara RPC anakuja na maagizo, mara Lipumba anapiga simu kwa waluomtuma. Mara anarudi tena Aibu tuu.
alivyoanza awamu yake tulidhani ni mtu wa haki kumbe anapuyanga tu kweli tumeliwa utawala haufati sheria au haki looooh maskini Tanzania
 
Back
Top Bottom