Tetesi: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala aliyezuia mkutano wa Lipumba "kushughulikiwa"

Hawa ndiyo Ma Prof,wa Bongo..

Badala kujikita kwenye tafiti mbali mbali Na kutoa mihadhara yeye anakomaa na mkutano wa kumvua Maalim nafasi yake.
 
Wanajipa dhiki tu hao chama ni watu, 2020 maalim Seif tutamsimika tena kuwa mgombea wa uraisi wa zanzibar ndani ya CUF au nje ya CUF. Kiufupi ni bora wangejiandaa ni vipi wanaenda kufuta uchaguzi wa 2020 Zanzibar, maana hatutawaacha salama ndani ya CUF au nje ya CUF
 
Tena niwaambie hapa. Waliontuma Lipumba Kuna kitu kinawatisha kuhusu maalim Seif. Huu mradi wa Lipumba unapitwa na muda na ndio maana hawaana aibu kuharibu bahati Yao hata kama mahkama imezuiya ili lengo la kunvua maalim Seif kwa njia yoyote ile ifanikiwe hata Kama ni haramu. Athari kwa nchi hapa haitazamwi kinachotazamwa ni maslahi. Huu mwiba wa maakin Seif Ni mkali kuliko sindano. Iwe isiwe inatakiwa maalim avuliwe ukatibu.
acha kulialia maalim seif hajakatazwa kuhudhulia kwenye mkutano na kila siku anaitwa na mwenye kiti wake haende kiburi sasa hata wakimvua wewe huoni kuwani sawa.mbona mnapenda kuishi ne ya uhalisiawakati unaonekana live live
 
Inasemekana jeshi la Polisi lilishaelekezwa kumlinda Lipumba pamoja na wajumbe wake kwa udi na uvumba , jeshi la polisi lilitakiwa kuhakikisha " MKUTANO MKUU " Unafanyika ili kumvua ukatibu mkuu Maalim Seif pamoja na kuwepo kesi Mahakamani kuhusu uhalali wa uenyekiti wa Lipumba , ambayo hukumu yake ni March 18.

Sasa viongozi wa juu wanashangazwa na Kiherehere cha Polisi kuzuia mkutano huo ( ambao hata hivyo unafanyika kibabe baada ya wakubwa kuubariki ) , inasemekana ni lazima Maalim Seif avuliwe uongozi kabla ya hukumu .

Kamanda aliyeidhinisha katazo hilo atarudishwa makao makuu

Tutaendelea kuwaletea hujuma zote zinazofanyika kwa kadiri ya wajumbe waadilifu watakavyokuwa wanatuvujishia

View attachment 1043975
Wewe mama!,kulikoni unaa wa namna hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom