Kamanda wa Polisi kuitangaza kibiashara Tigo na Clouds siyo ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,388
21,877
Jana Alhamisi kwenye taarifa ya habari alionekana kamanda wa polisi akiwa ameshika fulana ya kampuni ya Tigo na Clouds TV kuikaribisha Fiesta na mwingine aliwahi kuonekana akiitangaza BIKO, swali langu ni je, kanuni za utumishi wa umma zinaruhusu viongozi kujihusisha na matangazo ya biashara ya makampuni binafsi?
 
...endapo anatumia ngao ya ..."..public private partnership..." apo hamna tatizo, hata vibanda vya Traffic-Barabarani vya kujizuia na Jua kali au mvuaaa ni kwa hisani ya watu/taasisi binafsi? shida iko wapi?
 
Jana Alhamisi kwenye taarifa ya habari alionekana kamanda wa polisi akiwa ameshika fulana ya kampuni ya Tigo na Clouds TV kuikaribisha Fiesta na mwingine aliwahi kuonekana akiitangaza BIKO, swali langu ni je, kanuni za utumishi wa umma zinaruhusu viongozi kujihusisha na matangazo ya biashara ya makampuni binafsi?
Hajalipwa na yeye kashirikishwa tu kama kiongozi mwenye jukumu la kudumisha amani wakati watu wakila maraha. Kumbuka na yeye nje ya kuwa kamanda ni raia tu kama raia mweingine
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom