Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,466
- 2,642
Wasalam, Rejea gari la mbunge chadema lashambuliwa kwa risasi.
Amesema limeshambuliwa na watu wasiojulikana lakini namba za gari wanazo hivyo wanaendelea kuwatafuta watu hao wasiojulikana. Amesema eneo la tukio hakukua na ganda la risasi walilookota. Chanzo ITV
Amesema limeshambuliwa na watu wasiojulikana lakini namba za gari wanazo hivyo wanaendelea kuwatafuta watu hao wasiojulikana. Amesema eneo la tukio hakukua na ganda la risasi walilookota. Chanzo ITV