Kaka Tena wapo kibao ndani ya jeshi la polisiAanzie humo humo polisi kwanza sababu wamejaa kibao..
Kwa lipi kubwa alilolifanya?Sirro namwamini sana
Ujuzi unachangia ufanisi wa kazi.Kwani maendeleo yanaletwa na vyeti?
Hilo zoezi ni gumu sana kwani ukiingia wizara ya elimu ndiyo utachoka kabisa maana wamejazana kibaoView attachment 365614
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro amewataka wale wote waliyo na vyeti vya kugushi (vyeti feki) wajisalimishe mapema kwa jeshi hilo kabla ya kuanza kwa oparesheni maalum utakaowabaini na kuwachukulia hatua za kisheria.
Kamanda Sirro ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar na kuongeza kuwa, watuhumiwa wamekuwa wakibanwa na kuwataja baadhi ya vigogo wa seriaklini kuwa ndiyo wanaohusika kuwatengenezea vyeti hivyo na kwamba huvitumia vyeti hivyo walivyotengenezewa kwa kuajiriwa serikalini na taasisi nyingine.
Nakwako watafika jiandaeSafisha safisha
Naona Tanzania inakuwa ya viongozi makini na wenye vigezo.
Mambo yakuishia form Six ZERO
Nakuongoza Watu wenye Elimu zao
Mwisho 2015
Ange anza na ma wilayani hasa walimu na manesi huko ndiyo balaa kabisaKwa hili nampa hongera kila mtu ale kwa jasho lake.Hapa kazi tu hivi kwanini zoezi la vyeti feki liachelewa na kususua sua siliunganishwe na uhakiki wa wafanyakazi hewa.
Mkuu naona unataka kuzingirwaHata mdingi na mashaka naye, iweje ufikie DhP ya Kireno na kireno hujui?
Hivi hilo la kukagua vyeti ni moja ya jukumu la polisi?
Heee!!! Sekta ya polisi ambayo jukumu lake kuu na la msingi ni ulinzi na usalama wa Raia na Mali zao limebadilika na kuwa katika sekta au wizara ya elimu????
Tafadhali mnisaidie hili to me is very incredible as I see ni kama interaction of responsibilities,roles & accountabilities.