Sote leo tumeshuhudia leo kamanda Mambosasa akitolewa kafara kwa sakata la kutekwa kwa Mo Dewji. Anachokishangaa leo JPM akina Godbless Lema walikishangaa tangu siku ya kwanza mpk wakaitwa central. Ndiyo maana tunasema Mambosasa anatolewa kafara.
Tuachane na hilo tuje sasa kwa IGP siro. Kete ya mwisho ya serikali ya JPM kujiepusha na uvundo wa mzoga wa "sakata la kushambuliwa kwa Tundu Lisu" ni kumteua Prof. Kabudi kuwa waziri wa mambo ya nje.
Kama mmeisikiliza hotuba ya Prof huyu wakati akiapishwa kuitumikia wizara ya mambo ya nje ametamba kumshughulikia Lisu (japo hakumtaja kwa jina).
Mara baada ya kete hiyo kushindikana serikali ya JPM itaanza kutoa watu kafara. Siro ndiye kafara iliyo nona katika sakata hili. Namhakikishia kamanda Siro atapata tabu sana. Hakika hataamini!
Tuachane na hilo tuje sasa kwa IGP siro. Kete ya mwisho ya serikali ya JPM kujiepusha na uvundo wa mzoga wa "sakata la kushambuliwa kwa Tundu Lisu" ni kumteua Prof. Kabudi kuwa waziri wa mambo ya nje.
Kama mmeisikiliza hotuba ya Prof huyu wakati akiapishwa kuitumikia wizara ya mambo ya nje ametamba kumshughulikia Lisu (japo hakumtaja kwa jina).
Mara baada ya kete hiyo kushindikana serikali ya JPM itaanza kutoa watu kafara. Siro ndiye kafara iliyo nona katika sakata hili. Namhakikishia kamanda Siro atapata tabu sana. Hakika hataamini!