Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Excellently saidHao watu walioajiriwa tena wakiwa na vyeo vikubwa hivyo hawana ujanja wa kujiajiri labda wafukuzwe kazi. Hapo alipo hata apigwe vibao na huyo Rc kijana ataendelea kuvumilia kwani hapo ndio mahali anaweza kutoka kimaisha. Hizo porojo unazosikia wakiwa maofisini watu wajiajiri eti kuna fursa kibao ni danganya toto. Kama ingekuwa kujiajiri ni rahisi hivyo usingeona wakiwatafutia watoto na vimada wao kazi za ajira serekalini ama kwenye taasisi na makampuni yanayolipa vizuri