Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
wadu angalieni star tv jinsi waziri na kamanda wanavyojadili mgomo wa waalimu
nawasilisha.
nawasilisha.
Kamanda yupi huyo.ccm hakuna makamanda kuna MIKANDA sory Makada.cdm ndo makamanda
sorry si lugora ni malomba.pia yupo kangi lugora.
Majaliwa simuelewi anachoongea,mara TSD,mara raisi anawaheshimu walimu, mara kuboresha mazingira, yaani ni siasa tu!
wadu angalieni star tv jinsi waziri na kamanda wanavyojadili mgomo wa waalimu
nawasilisha.