johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma mzee Muroto amesema jiji lake liko lipo shwari na wamejipanga vilivyo kuwalinda wageni wote wanaokuja kwenye sherehe za kuapishwa Rais Magufuli.
RPC Muroto amewataka CHADEMA wasijaribu kuandamana kwani baada ya kupata kipigo cha Mbwa kachoka kwenye sanduku la kura wao watawapa kipigo cha Mbwa koko endapo watajaribu kuingia barabarani kuandamana.
Kamanda Muroto amewataka wafanyabiashara wa Dodoma kujiandaa kuupokea ugeni huo mkubwa utakaopelekea kukuza uchumi wao.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
RPC Muroto amewataka CHADEMA wasijaribu kuandamana kwani baada ya kupata kipigo cha Mbwa kachoka kwenye sanduku la kura wao watawapa kipigo cha Mbwa koko endapo watajaribu kuingia barabarani kuandamana.
Kamanda Muroto amewataka wafanyabiashara wa Dodoma kujiandaa kuupokea ugeni huo mkubwa utakaopelekea kukuza uchumi wao.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!