Kamanda: Mtunza nidhamu za wanafunzi wa Arusha

mkuu Daudi Mchambuzi mbona route yako imenchanganya?

kaka ukiwa na speed nzuri ukitokea maeneo ya naaz hotel unashuka na njia ya tanesco, unaruka fensi unaingia arusha school unayapita mabembea unachukua njia ya mabweni ya arusha school unatokea upande wa pili unashukia mto themi unavuka unatokea uzunguni maeneo ya kwa wazambia unaendelea na safa mpaka mlima shabaha hadi bwawa la mavi, kwa route hii kamanda alikuwa hanipati.
 

kaka ukiwa na speed nzuri ukitokea maeneo ya naaz hotel unashuka na njia ya tanesco, unaruka fensi unaingia arusha school unayapita mabembea unachukua njia ya mabweni ya arusha school unatokea upande wa pili unashukia mto themi unavuka unatokea uzunguni maeneo ya kwa wazambia unaendelea na safa mpaka mlima shabaha hadi bwawa la mavi, kwa route hii kamanda alikuwa hanipati.

mkuu unatisha ni maeneo hayo hayo bana!sasa hivi unapitia corridor springs!
Mtoro mkubwa sana wewe!
 
Kweli ulikuwa na speed ya kutisha ....







kaka ukiwa na speed nzuri ukitokea maeneo ya naaz hotel unashuka na njia ya tanesco, unaruka fensi unaingia arusha school unayapita mabembea unachukua njia ya mabweni ya arusha school unatokea upande wa pili unashukia mto themi unavuka unatokea uzunguni maeneo ya kwa wazambia unaendelea na safa mpaka mlima shabaha hadi bwawa la mavi, kwa route hii kamanda alikuwa hanipati.
 
Duuu! kweli umenikumbusha mbali....... Alishatufumania mto Naura tunavua samaki/vichwa runguu muda wa darasani tulijutaa.... maana tulikimbia kupitia police huko huko mtoni na kutokea Kaloleni. Bali tulimwachia vumbi....... Haaaaa Haaaa
 
Kufa kunoga dawa yake akikutoa nduki wewe kimbilia kwa akina richii wa sinoni au kimbilia mto themi kule kwa wazambia kwenye kijiwe cha Bitii Omega mzee wa Gujuruu uone kama atatimba zaidi ya kuwa mdogo.......:cool2: .Machalii wa Themi Primary School wanajua chochoro za wababe wa Sinoni....wazee wa bisibisi......haonewi mtu.....:msela:
 
Kufa kunoga dawa yake akikutoa nduki wewe kimbilia kwa akina richii wa sinoni au kimbilia mto themi kule kwa wazambia kwenye kijiwe cha Bitii Omega mzee wa Gujuruu uone kama atatimba zaidi ya kuwa mdogo.......:cool2: .Machalii wa Themi Primary School wanajua chochoro za wababe wa Sinoni....wazee wa bisibisi......haonewi mtu.....:msela:

sasa hivi pale kwa omega tunachapa vibaka fimbo 70 kwa kila tukio.
 
Alishawahi kunikimbiza maeneo ya Naaz enzi hizo ilikuwa ni duka sio mgahawa. Hakunipata nilishukia na njia ya Arusha School, nikatokea mto Themi upande wa pili wa wa Zambia nikaendelea na misele kuelekea mlima Shabaha.

Hahahaaaaaa mangi we lazima utakua mutu ya d2,sinoni au ngalimi naake hizo maeneo unacruz kwa akina omega then ndio huyoooooo mlima shabaha......
 
Hahahaaaaaa mangi we lazima utakua mutu ya d2,sinoni au ngalimi naake hizo maeneo unacruz kwa akina omega then ndio huyoooooo mlima shabaha......

nimechakaza iyo sinoni, d2 , ngaleloo, bongonyoo kule mto kibarazaa, ngalimi natobokea mpaka engosheraton njia ya kwa malayi napandia njiro mdogo mdogo napanda na lemara natokea tena mto themi naogelea narudi home.
 
kama kuna ukweli ndani yake he will reap what he sow mbele mbele hakuna masihara ni ID
 
Habari za jioni wakubwa.

Thread hii inaweza kuwahusu watu wa Arusha hasa hasa wale waliosoma elimu ya msingi katikati ya jiji la Arusha kipindi hicho manispaa ya Arusha.

Kwa wanafunzi hasa wa shule zetu za kidumu fagio ni wazi mnamkumbuka huyu mbaba aliyekuwa akijulikana kama 'Kamanda'

Huyu jamaa alikuwa ni mgambo propbably mwajiriwa wa manispaa ya Arusha,wengi mtakaomkumbuka na kukumbuka heka heka zake basi mlikuwa watoro shuleni.

Kamanda alikuwa anazunguka mitaani na kwa mara chache alikuwa akiibuka mashuleni na kutembeza bakora za kufa mtu kwa wanafunzi watoro au watukutu.

Kilinichonisikitisha juzi juzi nimekutana na Kamanda maeneo ya sanawari akiwa tungi na katika dodosa dodosa eti watu wanasema 'kamanda' kawa bwabwa!
hahaaaa...kufa kunoga!...jamaaa tulikuwa tunamchukia huyu....alafu anambio balaa...bro wangu enzi hizo ameshakimbizana sana na huyu jamaa..sema watoto wa makao mapya siunajua walivyo wahuni...jamaa kashapigwa na yai viza tokea ghorofani,nlikuwa la tatu au la nne ivi pale levolosi...long tym!
 
kama kuna ukweli ndani yake he will reap what he sow mbele mbele hakuna masihara ni ID
huyu jamaa anahitaji pongezi,alijitolea sana kurudisha watukutu shule,nimekua ndo nikaona alifanya cha msingi sana kututisha tusitoroke shule,alijitolea kweeeli!
 
Kufa kunoga dawa yake akikutoa nduki wewe kimbilia kwa akina richii wa sinoni au kimbilia mto themi kule kwa wazambia kwenye kijiwe cha Bitii Omega mzee wa Gujuruu uone kama atatimba zaidi ya kuwa mdogo.......:cool2: .Machalii wa Themi Primary School wanajua chochoro za wababe wa Sinoni....wazee wa bisibisi......haonewi mtu.....:msela:
hahaaaa themi?....wale wababe wa arusha day akina babaa?duuu....kitambo sana...sema kipindi ile shule ya msingi ilikuwa ina mzuka sana,unasoma themi tuition d2....mpira arusha sec....nyumbani sakina unadandia lift za lile gari la ABB...LONG TYM MEN!
 
Yaani usiombe ukiwa pale uhuru road akikuona anakunyatia mpaka akufikie bro!!!!
Arusha nzima walikua wanamjua kufa kunoga,alafu anajua kutega mingo balaa,lazma akushike,alikua akipita mtaani tunajificha tunamtania.....j3 lazma aje levolosi kuulizia wote wanaokaa magorofani!
 
Halafu we jamaa inaelekea ulikuwa unaoga Mto Themi wewe....

Dahh....Nimeoga sana mto Themi...
Aisee by then ujinga wote tumefanya...achana na kufa kunoga,jumamosi tunaenda kuwapeleka mbwa pale deep kuwaogesha,then baada ya hapo tunaenda kuwapiganisha kule mto themi,unarudi skani mchana malapa yamekatika,una njaa,mbwa kapigwa meno ya hatari,maza na yeye anakuongezea kifinyo.....i miss those days...aruuuusha!
 
Back
Top Bottom