HaswaaaaHizi timu za hawa wasanii zina shida
Mimi nawe nani Layman? Mbweha wewe.Kweli ndio maana asiosomea sheria aitwa layman.....mtoa mada umebobea kwenye udaku achana na sheria
2014 sauti sol walichukua tuzo hiyo ya African act kwenye MTV emaMtanzania na East African wa kwanza kuchukua tuzo hiyo ni Diamond.
Kwako Kamanda Mpinga,
Msanii Ali Kiba amefika nchini leo akitokea Afrika Kusini. Baada ya kufika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere alipokelewa na mashabiki wake.
Katika hali ya kushangaza msanii huyo amepanda juu ya gari na kushikilia tuzo yake kujigamba kwa mashabiki wake.
Kitendo hiki kinahatarisha maisha yake na maisha ya wengine wanaotumia barabara. Hatari hiyo ni zaidi ya kutofunga mkanda, kuendesha gari lisilo na breki, tairi lenye kipara etc.
Sheria za usalama barabarani haziruhusu ujinga huu hivyo msanii huyu achukuliwe hatua kali sana.
Kitendo alichokifanya ni zaidi ya dereva wa Itigi au Diamond Platnumz.
Jela inamnukia.
Asante kwa kumpa za USO, wivu tyuuuuKosa analo dereva aliye endelea kuendesha gari hata baada ya kuona "chizi" amepanda juu ya gari, hivi gari ikikamatwa na abiria kwenye body anakamatwa nani? Mbona huwa nakuona una akili?
Sina chakuongeza swali lako umelijibu mwenyewe.Mimi nawe nani Layman? Mbweha wewe.