Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Video ya huyo Kiba iliyoonyeshwa inaonyesha siyo open roof, bali jamaa wamekaa kwenye paa ya gari kama waliokaa kwenye mkeka.Kwani lowassa huwa hasimami na kuonekana kichwa open roof?
Na ya mheshimiwa sana, haikuwa kusimama kwenye open roof, ila kuruka toka juu ya gari na kurukia chini.
Vile vile, kwa kuwa umeonelea uongezee mfano wa Lowassa, hata kama kusimama ndani ya gari open roof ingekuwa kosa na hakuchukuliwa hatua, basi inawezekana ingekuwa sababu ya "umaarufu wake"