Jiwe la Ukara
Member
- Jul 15, 2011
- 44
- 31
Tulianza pamoja, na tutamaliza pamoja.
Nakumbuka wakati tunafanya sherehe ya kujipongeza kwa ushindi wa Jimbo la ubungo, tulimwambie kamanda huyu kuwa tunakutuma bungeni ukawe mbunge wa mfano ambaye kamwe hutokuja kujiinua na kujiona kuwa ni maarufu kuliko CHADEMA ka mawabunge wengine vijana. Kamanda kazi umeifanya.Tunapolekea kutimiza mwaka mmoja wa Ubunge wako kazi tuliyokutuma kuifanya unaendela kuifanya. Wewe si mdune wa Ubungo tu, bali ni mbunge wa Vijana na Dar es Salaaam nzima.
Nakupigia saluti Kamanda..wewe ni Mbunge wa mfano.
TUMEANZA PAMOJA, TUTAMALIZA PAMOJA!
Nakumbuka wakati tunafanya sherehe ya kujipongeza kwa ushindi wa Jimbo la ubungo, tulimwambie kamanda huyu kuwa tunakutuma bungeni ukawe mbunge wa mfano ambaye kamwe hutokuja kujiinua na kujiona kuwa ni maarufu kuliko CHADEMA ka mawabunge wengine vijana. Kamanda kazi umeifanya.Tunapolekea kutimiza mwaka mmoja wa Ubunge wako kazi tuliyokutuma kuifanya unaendela kuifanya. Wewe si mdune wa Ubungo tu, bali ni mbunge wa Vijana na Dar es Salaaam nzima.
Nakupigia saluti Kamanda..wewe ni Mbunge wa mfano.
TUMEANZA PAMOJA, TUTAMALIZA PAMOJA!