Elections 2015 Kamanda Mawazo: Tumepigwa tena, mwenzetu anaweza kufa wakati wowote!

kama kampeni za udiwani ccm mnafanya fujo kiasi hiki wewe JK unajesema wenzako ni wachanga kisiasa wewe mkomavu na chama chako kwanini usiwaambie wana ccm wenzako wafanye siasa za kistarabu?shame on you kinana maana haya mambo mnayaona ila mnayafumbia macho kwa maslahi ya chama chenu ila INSHALAAH MWENYEZI MUNGU YUPO.
 
Tusikate tamaa kuuondoa ufalme si kitu rahisi hata kidogo na hizo ndizo gharama zake ccm hawawezi toka kirahisi lazima itugharimu yumkini hata damu. Tufuatilie historia za ukombozi nchi za Afrika. Haikuwa rahisi hata kidogo kuwaondoa wakoloni. Nani asiye jua leo kwamba CCM ni wakolono na makaburu weusi?

Inshallah Mungu awaponye majeruhi. Tusikate tamaa. The darker the night the nearer the dawn.
 
"Tukiwa kwenye mkutano wa hadhara maeneo ya kibo Sombetini mwenzetu mmoja amepigwa na kukatwa katwa mapanga,tumejitahidi kumwokoa lakini wenzetu walijiandaa vilivyo kwa silaha za jadi.

Niko na makamanda central na tayari kapewa PF3. Mi nimebaki ili kufungua jalada lakini OCD anakataa kwa kusema mi siyo eye witness.

Kinachoniuma ni ukweli kwamba majeruhi tukiwa ndani ya gari la police alimwona mshambuliaji wake na kuwataka police wamkamate lakini walikataa na kututaka tufungu jalada kwanza, kingine ni gari la police kutishiwa kugongwa na gari la CCM huku wakiimba TUNAMTAKA MAWAZO na wao kukaa kimya.

Tumekabidhi mapanga, nyundo, nondo name silaha nyingine tulizoshambuliwa nazo
Hakuna mtu nikimkumbuka najawa na roho ya kulipa kisasi kama huyu....RIP Alphonce
 
Hizo ni story za kutafuta umaarufu Huyo mawazo wamtake wanini? wekeni picha vinginevyo ni ulaghai tu
Hivi mwenzio akiteleza ghorofani utafanya jambo gani kwanza...!??

A. Kumpiga picha ili upost
B...................
C..................

Jaza nafasi zilizoachwa wazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom