Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Kamanda Mawazo JF siyo mali ya CHADEMA wala CCM ni jukwaa huru.
Sasa correlation ya post yako na hii thread iko wapi Mkuu wangu?Leo imekuaje tena?
Kamanda Mawazo JF siyo mali ya CHADEMA wala CCM ni jukwaa huru.
Kamanda Mawazo JF siyo mali ya CHADEMA wala CCM ni jukwaa huru.
Tatizo lako unawaza na kuongea kwa kutumia masaburi badala ya kuwaza na kuongea kwa mdomo.mtoto wa fisadi ni fisadi tuu mpaka jf unataka kuifisadi.hivi hizo pesa zooote mlizoiba hamtosheki tuu??? Kwani unatafuta nini zaidi? Nyambaff!
lugha kama hii uliyotumia hapa ndio inayowafanya members wengi waidharau jf na kuiona ipo kwa ajili ya watu flani kwa lengo flani...angetumia mtu mwingine lugha kama hii angepigwa ban