Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,641
- 93,348
SawaHakuwapa hata chembe ya sifa, rudia kuusoma vizuri. Ile ni style ya uandishi ya kufikisha ujumbe ili sheria za mtandao zisimfikie.
SawaHakuwapa hata chembe ya sifa, rudia kuusoma vizuri. Ile ni style ya uandishi ya kufikisha ujumbe ili sheria za mtandao zisimfikie.
Nijuavyo mimi, watuhumiwa wa ujambazi, wakienda kuonyesha silaha, au kutoka popote nje ya mahabusu, huwa wamefungwa pingu na ulinzi mkali, watu wenye pingu, wataroka vipi, kwa distance ipi kushindwa kuwa destabilize kwa kuwapiga risasi za miguu?!.
Naamini huu ni utekelezaji wa agizo hili,na askari hao wanasubiri kupandishwa vyeo!.
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa ...
IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.
Karma is for real.
Paskali[/QUOTE)
Ila kwa komando pingu sio kitu kwake.
Ukiwaua unapataje full network yao sasa maana hawa jamaa lazima wapoa wengi na ukiua wote wengine ni furaha yaoe kuwa wamesalimika?
Irony na Sarcasm.hauwezi fundishwa shuleni namna ya kuvitumia ama kuvigundua vinapotumika ,unapaswa kujiongeza mwenyewe.Mkuu kuna uzi umetoka kuwasifia hawa polisi, now umewageuka tena?
Hahahaha ukiwa unawasikiliza polisi wetu maneno yao unaweza kutapikajambazi mwenye mafunzo ya ucomandoo unatembea naye bila pingu hata wagonjwa watuhumiwa wanapingu kwenye vitanda
OkIrony na Sarcasm.hauwezi fundishwa shuleni namna ya kuvitumia ama kuvigundua vinapotumika ,unapaswa kujiongeza mwenyewe.
Nijuavyo mimi, watuhumiwa wa ujambazi, wakienda kuonyesha silaha, au kutoka popote nje ya mahabusu, huwa wamefungwa pingu na ulinzi mkali, watu wenye pingu, wataroka vipi, kwa distance ipi kushindwa kuwa destabilize kwa kuwapiga risasi za miguu?!
Naamini huu ni utekelezaji wa agizo hili,na askari hao wanasubiri kupandishwa vyeo!.
Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Vifo vya Mahabusu Mwanza, IGP Mangu, Usikubali Kudanganywa ...
IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.
Karma is for real.
Paskali
Wewe hukumuelewa!!Mkuu kuna uzi umetoka kuwasifia hawa polisi, now umewageuka tena?
Hii ya kuua wahalifu haitatui tatizo la uharifu dunia nzima spwcially hapa nchini tuwakamate na kuwahoji tujue network yao alafu tunawaua tena kwa kuwapiga mawe hadi kifo
OkeyWewe hukumuelewa!!
Kazi nzurKamanda Mambosasa aeleza jambazi komando kutoka Burundi wa wenzie 2 walivyouawa na polisi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limewauwa majambazi watatu akiwemo raia wa Burundi ambao walikuwa wakifanya uhalifu katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo na nchini kwa ujumla.
Hayo yameelezwa leo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam ambapo amesema kuwa katika majambazi hao watatu waliouwawa kwenye oparesheni maalum ya jeshi hilo, iliyofanyika kuanzia Novemba 11 hadi 30, 2017 alikuwepo raia mmoja wa Burundi aliyejulikana kwa jina la Fanueli Luchunda Kamana ambaye ana mafunzo ya kijeshi na kufikia ngazi ya Komando.
“Baada ya kuwakamata na kuwafanyia mahojiano walikubali kuonyesha silaha moja aina ya AK 47 pamoja na Magazine mbili zenye jumla ya risasi 57 ambazo zote walikuwa wameficha kwenye vichaka maeneo ya Ubungo Mawasiliano” amesema Kamanda Mambosasa.
Aidha Mambosasa ameeleza kuwa raia huyo wa Burundi ndio alikuwa kiongozi wa kundi hilo ambapo alikuwa anakwenda Burundi kila baada ya kufanya tukio. Ameongeza kuwa baada ya kwenda kuonesha silaha walizokuwa wameficha katika eneo jingine, Mburundi huyo alimvamia askari kwa lengo la kumshambulia ili wajinasue.
“Baada ya kumvamia askari wetu majambazi wale wawili walianza kukimbia lakini askari wetu walifanikiwa kuwadhibiti kwa kuwafyatulia risasi na baadae kuwafikisha katika hospitali ya Mwananyamala ambapo walibainika kuwa wamefariki”, amesema..
source: Mpekuzi