Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kamanda Edward Lowassa akiwa amevalia gwanda kwa ajili ya maandalizi ya uzinduzi wa kampeni za Kinondoni leo.
Mambo ni hiviiiiii
Wakiona hii wanaweweseka si kodogohaha mambo ni fire
Leo kavalishwa gwanda? Teh teh teh.....au ni photoshop?
Mbona maneno mengi, tusubiri tuone. Baadae mtaanza ohhh polisccm, oo wizi Wa kura na mambo kibao, yaani hamchelewi.Wakiona hii wanaweweseka si kodogo
Gwanda jeusi pia nishawahi kumuona kalivaa na huwa linampendeza sanaDah. Kapendeza kwa mara ya kwanza na hilo komati
kama mgambo wa city.......
OO lowasa hajawahi vaa gwanda, leo kavaa mnasema kama mgambo wa city. hamjambo kwa manenokama mgambo wa city.......