Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Kutokana na mkanganyiko wa habari nzima kuhusu tuhuma kwa J.Muro. Imewahamsha watanzania hisia tofauti na kulitizama Jeshi la Police tofauti katika utendaji na uwajibiukaji wa kazi zake, na kutiliwa mashaka. Nchi nzima imetupia Jicho kwa J.Muro na Kamanda Kova na Jeshi la Police.
Kwa hali hiii napenda kumwonba Kamanda Kova Kuachia Madaraka aliyo nayo.
Wenu Mwana JF
Kutokana na mkanganyiko wa habari nzima kuhusu tuhuma kwa J.Muro. Imewahamsha watanzania hisia tofauti na kulitizama Jeshi la Police tofauti katika utendaji na uwajibiukaji wa kazi zake, na kutiliwa mashaka. Nchi nzima imetupia Jicho kwa J.Muro na Kamanda Kova na Jeshi la Police.
Kwa hali hiii napenda kumwonba Kamanda Kova Kuachia Madaraka aliyo nayo.
Wenu Mwana JF