Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
Source; Tbc Taifa.
Kupitia taarifa ya habari iliosomwa kupitia Tbc1 Taifa, Kamanda Kova amedai kuwa kuna
Vijana ambao wanarubuniwa kwa kupewa Pesa na wana siasa wasioitakia mema Tanzania
Kwa ajili ya kuanzisha Maandamano yasiyo ya Halali Pamoja na kuleta machafuko.
My take;
Tukiwa kama Watanzania ambao tumeshindwa kuvumilia Uhuni Huu, Basi kwa kutumia thread hii Tutoe maoni ya Msingi ambayo Ukiwa kama Mzalendo unadhani yataweza;
Kupitia taarifa ya habari iliosomwa kupitia Tbc1 Taifa, Kamanda Kova amedai kuwa kuna
Vijana ambao wanarubuniwa kwa kupewa Pesa na wana siasa wasioitakia mema Tanzania
Kwa ajili ya kuanzisha Maandamano yasiyo ya Halali Pamoja na kuleta machafuko.
My take;
- Kwa kutumia kodi zetu Kova, Mwema wanalipwa mishahara.
- Kwa kutumia rasilimali za Zetu wananua magari ya kutumwagia maji Ya Pilipili.
- kwa kutumia vyombo vyetu vya usalama Wanatunyima Haki zetu za kidemocrasia.
- Kwa kutumia uvumilivu na hekima zetu wana Tutawala kimabavu.
Tukiwa kama Watanzania ambao tumeshindwa kuvumilia Uhuni Huu, Basi kwa kutumia thread hii Tutoe maoni ya Msingi ambayo Ukiwa kama Mzalendo unadhani yataweza;
- Kuinusuru Democracy ya Nchi yetu.
- Kurudisha heshima ya Taifa Tanzania
- Na mengineyo kwa Manufaa yetu na Vizazi Vyetu.