zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
....Akihojiwa kwa njia ya simu kamanda Kenyela amesema kijana aliejeruhiwa amejeruhiwa kwa subject Matter..huenda ikawa Jiwe,Risas au bomu la machozi...
Na mjeruhiwa yupo hoi wodini.
Amesema Police walitumia hekima sana la sivyo Mauaji yangekuwa Makubwa.
Source:Radio One
Na mjeruhiwa yupo hoi wodini.
Amesema Police walitumia hekima sana la sivyo Mauaji yangekuwa Makubwa.
Source:Radio One