Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,820
- 93,502
Jana wakati akihojiwa na waandishi wa habari alikua anajichanganya na kutoa maelezo yasiyo na kichwa wala miguu."....Kijana mmoja amejeruhiwa(hakutaja kitu kilichopelekea jeraha) maeneo ya shavuni, na jopo la madaktari hospitali ya Mwananyamala wanahangaika kuhakikisha wanamtibu..."