Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
tempered.
I meant TAMPERED as in evidence tampering
tempered.
chagonja ni miongoni mwa maafisa wanaotumia vyeti bandia waliotambuliwa na NIDA
Kamanda wa Operesheni maalum Paul Chagonja amemtisha Dr Ulimboka Stephen kwamba kauli zake juu ya kumtambua ACP Msangi kwamba alihusika kumteka zitamgharimu mwenyewe.
Kamanda Chagonja amesema hakuna hata mtu mmoja anayejua ni nani alimteka na kumpiga Dr Ulimboka na ndiyo maana tume maalum inafanya uchunguzi.
Katika kejeli na kiburi cha hali ya juu Kamishna Chagonja alihoji mbele ya waandishi ''NANI ANA UHAKIKA JE KAMA ALIKAMATWA NA MKE WA MTU NDIYO AKAPIGWA?''
Source: Mtanzania Jumamosi
Ndahani you said it well my bro. kuna kitu ambacho watu wengi hasa watawala wanakisahau, siyo mara zote nguvu inweza kushawishi jambo hata kama ni baya sana. wakati mwingine ni busara tu ya ukweli na ya uwajibikaji. sasa wakisema mathalani wanawashtaki wanategemea nini yatakuwa matokeo? je serikali imesahau kuwa bado inaupungufu mkubwasana wa madaktari and wasipokuwa makini basi watatorokea nchi jirani. tunawaona wanaokwenda kufanya kazi botswana, nchi za magharibi kama uswis na south africa. so naona possibility ka kupoteza hawa watu na serikali ianze tena kufikiei namna ya kupata wengine"If you only have a hammer, you tend to see every problem as a nail. Abraham Maslow". Kumbe hili halina ubishi. Kuwafunga madokta wote hao kwa sababu ya mgomo, lazima uwe na maguvu sana maana utatengeneza tatizo kubwa kuliko lile la kuyumba kwa uchumi baada ya vita vya Kagera
Nikurekebishe kidogo tafadhari. Hapo kwenye rangi nyekundu mkono wako umeteleza nadhani. Huyu bwana ni
mwanachama HOI wa CCM!!!
.Kamanda wa Operesheni maalum Paul Chagonja amemtisha Dr Ulimboka Stephen kwamba kauli zake juu ya kumtambua ACP Msangi kwamba alihusika kumteka zitamgharimu mwenyewe.
Kamanda Chagonja amesema hakuna hata mtu mmoja anayejua ni nani alimteka na kumpiga Dr Ulimboka na ndiyo maana tume maalum inafanya uchunguzi.
Katika kejeli na kiburi cha hali ya juu Kamishna Chagonja alihoji mbele ya waandishi ''NANI ANA UHAKIKA JE KAMA ALIKAMATWA NA MKE WA MTU NDIYO AKAPIGWA?''
Source: Mtanzania Jumamosi
As days go by, napata hisia tofauti kuhusu nchi yangu.
yeees..... Hapo ndo neno....polisi wote failure na kama wapo waliosoma basi baada ya ku reseat mara kadhaa.siyo kosa lake....ili uwe polisi inabidi ufeli kwanza form four.......
jeshi la polisi ni kweli halihusiki mbona dr.kwa kauli yake amesema tuhuma zinazosambazwa kuhusu kamanda msangi sio za kweli na yeye wala hajasema kuwa arudishiwe simu yake na wallet yake na kamanda huyo.
Hivi lenyewe lajijuwa kama ni mbumbumbu wa sheria? Kuna siku nilimsikia akisema polisi wanaruhusiwa kuuwa na akataja kifungu cha sheria ya kanuni za Adhabu.
Nilikisoma kile kifungu na kugundua kuwa hakiwaruhusu kuuwa ila tu kama ni kwa kujitetea maisha yao yakiwa hatarini kuuwawa. Lakin tumeona polisi wakiuwa wananchi huku wananchi hao wakiwa hawana silaha zozote za moto, pengine mawe tu na fimbo. Wengine wameuwawa kwa risasi visogoni huku wakikimbia.
kweli walimwengu waongo, hakuna ACP anayeitwa chagonja, pili huna uhakikika na elimu yake, tatu soma public sercvice act ujue watu wanaoruhisiwa kugoma kisheria, nne usikurupuke kuandika mambo ambayo huyajui
Pole yako naona umeshikwa MAKALI.O yote mawili unaandika uharo mtupu,halafu ndio nyie form four failure mnakimbilia Police kizembe,service yenyewe imekushinda kuandika,pambaf zako weekweli walimwengu waongo, hakuna ACP anayeitwa chagonja, pili huna uhakikika na elimu yake, tatu soma public sercvice act ujue watu wanaoruhisiwa kugoma kisheria, nne usikurupuke kuandika mambo ambayo huyajui