Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Hakuna sababu ya kumlamlamikia ZZK kwasasa kama anaharibu au kukiuka na kuvunja katiba ya CDM. ZZK tayari amejeruhiwa vibaya kisiasa hawezi tena kuwa na mapenzi na chama hivyo kila upenyo atakaopata lazima ahakikishe anazamisha chama ama kwa mdomo, matendo yake au kutumia wapambe wake. Ni wajibu wa kamati kuu kutoa maamuzi mapema. Bila maamuzi hivi vita kati ya Cdm vs zzk +ccm haitaisha leo.
Zzk yeye anakazi moja kuzama na cdm. Nothing less. Naomba kamati kuu ijue cdm ni wanachama ambao wamejitoa mida, mali, kazi, maisha nk kwa ajili ya kukuza chama sasa hizi sarakasi zi na sumbua sana. Stop it or quite.
Zzk yeye anakazi moja kuzama na cdm. Nothing less. Naomba kamati kuu ijue cdm ni wanachama ambao wamejitoa mida, mali, kazi, maisha nk kwa ajili ya kukuza chama sasa hizi sarakasi zi na sumbua sana. Stop it or quite.