Kama Zitto Kabwe unaweza kununuliwa ukipewa nchi si utatupiga mnada?

Screenshot_20220508-114132.png


Huyu urais atausikia tu! Alishapoteza sifa siku nyingi sana nyuma!
 
Asinge tuambia tunajenga kwa pesa zetu za ndani
Kwani mkuu ukikopa utalipa kwa pesa gani kama sio pesa zako mwenyewe?

Kukopa maana yake umepewa pesa zako ambazo ungesubiri kuzikusanya kwa muda flani, mtu ama taasisi inajitokeza inakupatia halafu wewe utakusanya taratibu taratibu utalipa kwa riba kidogo

Mbona ni simple logic.
 
Tangu Samia achukue nchi, sisikii tena watu wakihama mjini kwa kushindwa maisha, sisikii watu wakiishi kwa mlo mmoja na kuunganisha breakfast na lunch, sisikii Kariakoo na kwingineko maduka yakifungwa kwa kukosa wateja, sisikii makampuni makubwa kama TBL yakipunguza wafanya kazi kwa mamia kama ilivyokuwa siku za nyuma.
Sisikii wafanyakazi wa serikali wakilalamika.
Kimsingi nchi inakwenda vizuri tofauti na mlivyotuaminisha kwamba asipokuwepo fulani kila kitu kita doda!
Kifupi maza anaupiga mwingii!
Huwezi kuyasikia hayo yote kwa sababu nchi inaongozwa kifisadi Sasa,Fedha za wizi zinafacilitate kila kitu watu hawafanyi kazi wanategemea madeal tu
 
Kwani mkuu ukikopa utalipa kwa pesa gani kama sio pesa zako mwenyewe?

Kukopa maana yake umepewa pesa zako ambazo ungesubiri kuzikusanya kwa muda flani, mtu ama taasisi inajitokeza inakupatia halafu wewe utakusanya taratibu taratibu utalipa kwa riba kidogo

Mbona ni simple logic.

Mtz mmoja mwenye akili. Hizi pesa ukijenga miumbombinu ya kusafirisha mboga, matunda, kuchukua bidhaa nyingi vijijini unawasaidia 70% ya watu wako
 
Kwani mkuu ukikopa utalipa kwa pesa gani kama sio pesa zako mwenyewe?

Kukopa maana yake umepewa pesa zako ambazo ungesubiri kuzikusanya kwa muda flani, mtu ama taasisi inajitokeza inakupatia halafu wewe utakusanya taratibu taratibu utalipa kwa riba kidogo

Mbona ni simple logic.

Mikopo ya hovyo unapangiwa masharti kila kitu muhimu kwenye maisha ya Mtanzania umeme, gas usafkwairi, mbolea, Choma masoko ndio kiwe kipaumbele, kimilikiwe na sisi.
 
Pamoja kuwa ni kweli Zitto ni mchumia tumbo lakini kasema kweli tupu.
Hii nchi ina watu wengi wajinga,mfano ni wewe.
Mtu aliyenyamazisha kibabe uhuru waa habari na expression ili asifiwe yeye tu unamuona wa maana.
Sasa hivi uchafu wake unawekwa hadharani ili wajinga kama nyie mliokuwa mnalishwa propaganda mjue.
Ripoti za CAG hakuziandika Zitoo.

Bado hujaelewa mada iliyoko mbele yetu. Kinachoelezewa ni kuwepo kwa price tag mgongoni kwa Zito. Sasa wewe unaanza sijui habari za uhuru wa habari.
 
Bado hujaelewa mada iliyoko mbele yetu. Kinachoelezewa ni kuwepo kwa price tag mgongoni kwa Zito. Sasa wewe unaanza sijui habari za uhuru wa habari.
Uhuru wa habari una connection na mada.
Zitto anawafahamisha watu madudu ya mwendazake ambayo yalikuwa hayaandikwi kipindi akiwa hai sababu ya udikteta...
 
Back
Top Bottom