Kama Zitto Kabwe unaweza kununuliwa ukipewa nchi si utatupiga mnada?

Corticopontine

JF-Expert Member
Sep 20, 2019
664
1,272
Bwana Zitto anasema Magufuli hakuwa mkweli na aliendesha miradi mikubwa kwa fedha za mikopo.

Kauli ya bwana Zitto ni muendelezo wa baadhi ya wanasiasa nchini kwetu kushindana na Maiti ya hayati Dr. Magufuli ingawa ukweli unaonekana wazi kuwa Maiti ya shujaa wetu ina nguvu kuliko watu hao walio hai.

Kauli ya bwana zitto inakuja ikiwa haijapita hata siku tatu tangu Samia aiseme kauli husika. This means kwa sasa Zitto na Samia wana jambo lao! Na probably jambo lenyewe ni kushindana na maiti ya Magufuli. Na definately mission yao ya pamoja ni ya kuifuta kabisa legacy ya Magufuli ndiyo maana juzi Zitto in advance alishare post ya Luqman Maloto akionesha ilivyofutwa legacy ya Rais wa Urusi. Hawafanyi bahati mbaya, they plan wakidhani hatuelewi.

Yes wanaweza kujaribu ila trust me ili legacy ya JPM ipotee labda binaadamu aanze kutembelea kichwa badala ya miguu.

Wanapanga kuifuta legacy ya Magufuli kwa kuwa Magufuli alipokuwa hai

1. Alishawafungua macho watanzania kuwa Taifa lao siyo masikini bali Tajiri ambalo linaweza kujiendesha lenyewe. Magufuli alizitumia ipasavyo rasilimali za Tanzania kuijenga Tanzania.

Uhalisia katika jambo hili ni kuwa kwa kuwa Samia hana guts za kudeal na mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumi anashirikiana na Zitto na baadhi ya wanasiasa kuichafua na kuifuta legacy ya Magufuli kwa lengo la kuhalalalisha kutafuta mikopo. Mbinu yao ni kwamba ili Samia akope tena sana ni lazima aoneshe kuwa Magufuli naye alikopa, tena siyo kukopa bali kukopa kwa makosa.

2. Magufuli kabla ya kutangulia mbele za haki alishawafungua macho watanzania kuhusu miradi isiyo na tija kwa Taifa.

Kwa hiyo ili kuruhusu uanzishwaji wa miradi hii ya kipumbavu yenye masharti ya kijingakijinga na isiyo na maslahi kwa Taifa kama ule wa Bandari ya Bagamoyo ambayo mmoja wa wapambe wake ni zitto ni lazima kuikwamisha maksudi miradi aliyoianzisha JPM kuwaonesha watanzania kuwa miradi ya Magufuli imekwama kwa kisingizio cha mikopo.

Itafakari kwa kina point namba mbili hapo juu kwa kuwaza yafuatayo;

i) Samia kaongea juzi kuhusu Magufuli kukopa
ii) Zitto kaongea jana kuhusu Magufuli kukopa na kuongeza kuwa Magufuli alikuwa Muongo
ii) Leo Taifa linajulishwa kuhusu development ya majadiliano ya mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Hawa watu wanadhani watanzania ni wajinga na hawaelewi kinachoendelea.

Kwa lugha nyepesi ni wajibu wa kila mzalendo kuitetea Legacy ya JPM kwa gharama yoyote. Na wakati tukiendelea kuitetea Legacy ya jemedari wetu Samia aelewe kuwa watanzania wana mashaka na kifo cha Rais Magufuli hivyo aruhusu uchunguzi huru ili mashaka hayo yaondoke.
 
Pamoja kuwa ni kweli Zitto ni mchumia tumbo lakini kasema kweli tupu.

Hii nchi ina watu wengi wajinga,mfano ni wewe.

Mtu aliyenyamazisha kibabe uhuru waa habari na expression ili asifiwe yeye tu unamuona wa maana.

Sasa hivi uchafu wake unawekwa hadharani ili wajinga kama nyie mliokuwa mnalishwa propaganda mjue.
Ripoti za CAG hakuziandika Zitoo.
 
Pamoja kuwa ni kweli Zitto ni mchumia tumbo lakini kasema kweli tupu.
Hii nchi ina watu wengi wajinga,mfano ni wewe.
Mtu aliyenyamazisha kibabe uhuru waa habari na expression ili asifiwe yeye tu unamuona wa maana.
Sasa hivi uchafu wake unawekwa hadharani ili wajinga kama nyie mliokuwa mnalishwa propaganda mjue.
Ripoti za CAG hakuziandika Zitoo.
Maiti ya shujaa wetu ina nguvu kuliko watu hao walio hai.
 
Tunajenga kwa pesa zetu

1651991539055.png
 
Kama Samia pamoja na tozo kila kona bado hela ya kujenga tu madarasa amekopa WB, walitaka Magufuli hela ya kujenga SGR, Bwawa la umeme atoe wapi?

Hii mbona ni akili ya kawaida tu.

Halafu anasema Magufuli hakua mkweli wakati hiyo deal ya kukopa Standard Chartered Bank ilitangazwa hadharani, ni siri ipi hiyo ambayo haijulikani?

Samia yeye apambane afanye ama aache legacy yake na sio kupambana na Magufuli.

Zitto ni mtu wa kumpuuza maana hakuna anaemsikiliza zaidi ya misukule yake ya ACT. Na hata hiyo misukule yake mingi haimuelewi.
 
Bwana Zitto anasema Magufuli hakuwa mkweli na aliendesha miradi mikubwa kwa fedha za mikopo.

Kauli ya bwana Zitto ni muendelezo wa baadhi ya wanasiasa nchini kwetu kushindana na Maiti ya hayati Dr. Magufuli ingawa ukweli unaonekana wazi kuwa Maiti ya shujaa wetu ina nguvu kuliko watu hao walio hai.

Kauli ya bwana zitto inakuja ikiwa haijapita hata siku tatu tangu Samia aiseme kauli husika. This means kwa sasa Zitto na Samia wana jambo lao! Na probably jambo lenyewe ni kushindana na maiti ya Magufuli. Na definately mission yao ya pamoja ni ya kuifuta kabisa legacy ya Magufuli ndiyo maana juzi Zitto in advance alishare post ya Luqman Maloto akionesha ilivyofutwa legacy ya Rais wa Urusi. Hawafanyi bahati mbaya, they plan wakidhani hatuelewi.

Yes wanaweza kujaribu ila trust me ili legacy ya JPM ipotee labda binaadamu aanze kutembelea kichwa badala ya miguu.

Wanapanga kuifuta legacy ya Magufuli kwa kuwa Magufuli alipokuwa hai

1. Alishawafungua macho watanzania kuwa Taifa lao siyo masikini bali Tajiri ambalo linaweza kujiendesha lenyewe. Magufuli alizitumia ipasavyo rasilimali za Tanzania kuijenga Tanzania.

Uhalisia katika jambo hili ni kuwa kwa kuwa Samia hana guts za kudeal na mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumi anashirikiana na Zitto na baadhi ya wanasiasa kuichafua na kuifuta legacy ya Magufuli kwa lengo la kuhalalalisha kutafuta mikopo. Mbinu yao ni kwamba ili Samia akope tena sana ni lazima aoneshe kuwa Magufuli naye alikopa, tena siyo kukopa bali kukopa kwa makosa.

2. Magufuli kabla ya kutangulia mbele za haki alishawafungua macho watanzania kuhusu miradi isiyo na tija kwa Taifa.

Kwa hiyo ili kuruhusu uanzishwaji wa miradi hii ya kipumbavu yenye masharti ya kijingakijinga na isiyo na maslahi kwa Taifa kama ule wa Bandari ya Bagamoyo ambayo mmoja wa wapambe wake ni zitto ni lazima kuikwamisha maksudi miradi aliyoianzisha JPM kuwaonesha watanzania kuwa miradi ya Magufuli imekwama kwa kisingizio cha mikopo.

Itafakari kwa kina point namba mbili hapo juu kwa kuwaza yafuatayo;

i) Samia kaongea juzi kuhusu Magufuli kukopa
ii) Zitto kaongea jana kuhusu Magufuli kukopa na kuongeza kuwa Magufuli alikuwa Muongo
ii) Leo Taifa linajulishwa kuhusu development ya majadiliano ya mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Hawa watu wanadhani watanzania ni wajinga na hawaelewi kinachoendelea.

Kwa lugha nyepesi ni wajibu wa kila mzalendo kuitetea Legacy ya JPM kwa gharama yoyote. Na wakati tukiendelea kuitetea Legacy ya jemedari wetu Samia aelewe kuwa watanzania wana mashaka na kifo cha Rais Magufuli hivyo aruhusu uchunguzi huru ili mashaka hayo yaondoke.
Vp mbona uongelei walionunuliwa na huyo shujaa wako!!
 
Bwana Zitto anasema Magufuli hakuwa mkweli na aliendesha miradi mikubwa kwa fedha za mikopo.

Kauli ya bwana Zitto ni muendelezo wa baadhi ya wanasiasa nchini kwetu kushindana na Maiti ya hayati Dr. Magufuli ingawa ukweli unaonekana wazi kuwa Maiti ya shujaa wetu ina nguvu kuliko watu hao walio hai.

Kauli ya bwana zitto inakuja ikiwa haijapita hata siku tatu tangu Samia aiseme kauli husika. This means kwa sasa Zitto na Samia wana jambo lao! Na probably jambo lenyewe ni kushindana na maiti ya Magufuli. Na definately mission yao ya pamoja ni ya kuifuta kabisa legacy ya Magufuli ndiyo maana juzi Zitto in advance alishare post ya Luqman Maloto akionesha ilivyofutwa legacy ya Rais wa Urusi. Hawafanyi bahati mbaya, they plan wakidhani hatuelewi.

Yes wanaweza kujaribu ila trust me ili legacy ya JPM ipotee labda binaadamu aanze kutembelea kichwa badala ya miguu.

Wanapanga kuifuta legacy ya Magufuli kwa kuwa Magufuli alipokuwa hai

1. Alishawafungua macho watanzania kuwa Taifa lao siyo masikini bali Tajiri ambalo linaweza kujiendesha lenyewe. Magufuli alizitumia ipasavyo rasilimali za Tanzania kuijenga Tanzania.

Uhalisia katika jambo hili ni kuwa kwa kuwa Samia hana guts za kudeal na mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumi anashirikiana na Zitto na baadhi ya wanasiasa kuichafua na kuifuta legacy ya Magufuli kwa lengo la kuhalalalisha kutafuta mikopo. Mbinu yao ni kwamba ili Samia akope tena sana ni lazima aoneshe kuwa Magufuli naye alikopa, tena siyo kukopa bali kukopa kwa makosa.

2. Magufuli kabla ya kutangulia mbele za haki alishawafungua macho watanzania kuhusu miradi isiyo na tija kwa Taifa.

Kwa hiyo ili kuruhusu uanzishwaji wa miradi hii ya kipumbavu yenye masharti ya kijingakijinga na isiyo na maslahi kwa Taifa kama ule wa Bandari ya Bagamoyo ambayo mmoja wa wapambe wake ni zitto ni lazima kuikwamisha maksudi miradi aliyoianzisha JPM kuwaonesha watanzania kuwa miradi ya Magufuli imekwama kwa kisingizio cha mikopo.

Itafakari kwa kina point namba mbili hapo juu kwa kuwaza yafuatayo;

i) Samia kaongea juzi kuhusu Magufuli kukopa
ii) Zitto kaongea jana kuhusu Magufuli kukopa na kuongeza kuwa Magufuli alikuwa Muongo
ii) Leo Taifa linajulishwa kuhusu development ya majadiliano ya mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Hawa watu wanadhani watanzania ni wajinga na hawaelewi kinachoendelea.

Kwa lugha nyepesi ni wajibu wa kila mzalendo kuitetea Legacy ya JPM kwa gharama yoyote. Na wakati tukiendelea kuitetea Legacy ya jemedari wetu Samia aelewe kuwa watanzania wana mashaka na kifo cha Rais Magufuli hivyo aruhusu uchunguzi huru ili mashaka hayo yaondoke.
Alikopa? hajakopa? punguza ngonjera jikite kwenye uhalisia denni tril 80 limefikaje huko?
 
Kama Samia pamoja na tozo kila kona bado hela ya kujenga tu madarasa amekopa WB, walitaka Magufuli hela ya kujenga SGR, Bwawa la umeme atoe wapi?

Hii mbona ni akili ya kawaida tu.

Halafu anasema Magufuli hakua mkweli wakati hiyo deal ya kukopa Standard Chartered Bank ilitangazwa hadharani, ni siri ipi hiyo ambayo haijulikani?

Samia yeye apambane afanye ama aache legacy yake na sio kupambana na Magufuli.

Zitto ni mtu wa kumpuuza maana hakuna anaemsikiliza zaidi ya misukule yake ya ACT. Na hata hiyo misukule yake mingi haimuel
 
Bwana Zitto anasema Magufuli hakuwa mkweli na aliendesha miradi mikubwa kwa fedha za mikopo.

Kauli ya bwana Zitto ni muendelezo wa baadhi ya wanasiasa nchini kwetu kushindana na Maiti ya hayati Dr. Magufuli ingawa ukweli unaonekana wazi kuwa Maiti ya shujaa wetu ina nguvu kuliko watu hao walio hai.

Kauli ya bwana zitto inakuja ikiwa haijapita hata siku tatu tangu Samia aiseme kauli husika. This means kwa sasa Zitto na Samia wana jambo lao! Na probably jambo lenyewe ni kushindana na maiti ya Magufuli. Na definately mission yao ya pamoja ni ya kuifuta kabisa legacy ya Magufuli ndiyo maana juzi Zitto in advance alishare post ya Luqman Maloto akionesha ilivyofutwa legacy ya Rais wa Urusi. Hawafanyi bahati mbaya, they plan wakidhani hatuelewi.

Yes wanaweza kujaribu ila trust me ili legacy ya JPM ipotee labda binaadamu aanze kutembelea kichwa badala ya miguu.

Wanapanga kuifuta legacy ya Magufuli kwa kuwa Magufuli alipokuwa hai

1. Alishawafungua macho watanzania kuwa Taifa lao siyo masikini bali Tajiri ambalo linaweza kujiendesha lenyewe. Magufuli alizitumia ipasavyo rasilimali za Tanzania kuijenga Tanzania.

Uhalisia katika jambo hili ni kuwa kwa kuwa Samia hana guts za kudeal na mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumi anashirikiana na Zitto na baadhi ya wanasiasa kuichafua na kuifuta legacy ya Magufuli kwa lengo la kuhalalalisha kutafuta mikopo. Mbinu yao ni kwamba ili Samia akope tena sana ni lazima aoneshe kuwa Magufuli naye alikopa, tena siyo kukopa bali kukopa kwa makosa.

2. Magufuli kabla ya kutangulia mbele za haki alishawafungua macho watanzania kuhusu miradi isiyo na tija kwa Taifa.

Kwa hiyo ili kuruhusu uanzishwaji wa miradi hii ya kipumbavu yenye masharti ya kijingakijinga na isiyo na maslahi kwa Taifa kama ule wa Bandari ya Bagamoyo ambayo mmoja wa wapambe wake ni zitto ni lazima kuikwamisha maksudi miradi aliyoianzisha JPM kuwaonesha watanzania kuwa miradi ya Magufuli imekwama kwa kisingizio cha mikopo.

Itafakari kwa kina point namba mbili hapo juu kwa kuwaza yafuatayo;

i) Samia kaongea juzi kuhusu Magufuli kukopa
ii) Zitto kaongea jana kuhusu Magufuli kukopa na kuongeza kuwa Magufuli alikuwa Muongo
ii) Leo Taifa linajulishwa kuhusu development ya majadiliano ya mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Hawa watu wanadhani watanzania ni wajinga na hawaelewi kinachoendelea.

Kwa lugha nyepesi ni wajibu wa kila mzalendo kuitetea Legacy ya JPM kwa gharama yoyote. Na wakati tukiendelea kuitetea Legacy ya jemedari wetu Samia aelewe kuwa watanzania wana mashaka na kifo cha Rais Magufuli hivyo aruhusu uchunguzi huru ili mashaka hayo yaondoke.
Alafu kumbuka ukitenda yaliyo mema hazitakuwepo nguvu yakulinda uliyoyatenda yatajilinda yenywe bila nguvu yoyote
 
Bwana Zitto anasema Magufuli hakuwa mkweli na aliendesha miradi mikubwa kwa fedha za mikopo.

Kauli ya bwana Zitto ni muendelezo wa baadhi ya wanasiasa nchini kwetu kushindana na Maiti ya hayati Dr. Magufuli ingawa ukweli unaonekana wazi kuwa Maiti ya shujaa wetu ina nguvu kuliko watu hao walio hai.

Kauli ya bwana zitto inakuja ikiwa haijapita hata siku tatu tangu Samia aiseme kauli husika. This means kwa sasa Zitto na Samia wana jambo lao! Na probably jambo lenyewe ni kushindana na maiti ya Magufuli. Na definately mission yao ya pamoja ni ya kuifuta kabisa legacy ya Magufuli ndiyo maana juzi Zitto in advance alishare post ya Luqman Maloto akionesha ilivyofutwa legacy ya Rais wa Urusi. Hawafanyi bahati mbaya, they plan wakidhani hatuelewi.

Yes wanaweza kujaribu ila trust me ili legacy ya JPM ipotee labda binaadamu aanze kutembelea kichwa badala ya miguu.

Wanapanga kuifuta legacy ya Magufuli kwa kuwa Magufuli alipokuwa hai

1. Alishawafungua macho watanzania kuwa Taifa lao siyo masikini bali Tajiri ambalo linaweza kujiendesha lenyewe. Magufuli alizitumia ipasavyo rasilimali za Tanzania kuijenga Tanzania.

Uhalisia katika jambo hili ni kuwa kwa kuwa Samia hana guts za kudeal na mafisadi, wala rushwa na wahujumu uchumi anashirikiana na Zitto na baadhi ya wanasiasa kuichafua na kuifuta legacy ya Magufuli kwa lengo la kuhalalalisha kutafuta mikopo. Mbinu yao ni kwamba ili Samia akope tena sana ni lazima aoneshe kuwa Magufuli naye alikopa, tena siyo kukopa bali kukopa kwa makosa.

2. Magufuli kabla ya kutangulia mbele za haki alishawafungua macho watanzania kuhusu miradi isiyo na tija kwa Taifa.

Kwa hiyo ili kuruhusu uanzishwaji wa miradi hii ya kipumbavu yenye masharti ya kijingakijinga na isiyo na maslahi kwa Taifa kama ule wa Bandari ya Bagamoyo ambayo mmoja wa wapambe wake ni zitto ni lazima kuikwamisha maksudi miradi aliyoianzisha JPM kuwaonesha watanzania kuwa miradi ya Magufuli imekwama kwa kisingizio cha mikopo.

Itafakari kwa kina point namba mbili hapo juu kwa kuwaza yafuatayo;

i) Samia kaongea juzi kuhusu Magufuli kukopa
ii) Zitto kaongea jana kuhusu Magufuli kukopa na kuongeza kuwa Magufuli alikuwa Muongo
ii) Leo Taifa linajulishwa kuhusu development ya majadiliano ya mradi wa bandari ya Bagamoyo.

Hawa watu wanadhani watanzania ni wajinga na hawaelewi kinachoendelea.

Kwa lugha nyepesi ni wajibu wa kila mzalendo kuitetea Legacy ya JPM kwa gharama yoyote. Na wakati tukiendelea kuitetea Legacy ya jemedari wetu Samia aelewe kuwa watanzania wana mashaka na kifo cha Rais Magufuli hivyo aruhusu uchunguzi huru ili mashaka hayo yaondoke.
Magufuli alikuwa mpuuzi kama waNaccm wenzake alitenga tril 1.5 kuiua chadema kafa yeye
 
Back
Top Bottom