Tembulukoje
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 397
- 143
Hebu tuache unafiki, Prof. Muhongo kupewa wizara ya niashati na madini ni mahala pake. Kainyoosha hii secta ya umeme tangu alipoingia.
Kama yule mgombea wa UKAWA alionekana anafaa kuwa rais, baada ya yeye pia kujiuzulu miaka miwili tu tangu apewe uwaziri mkuu, kuna ubaya gani Muhongo kupewa uwaziri tena?
Tuache unafiki
Kama yule mgombea wa UKAWA alionekana anafaa kuwa rais, baada ya yeye pia kujiuzulu miaka miwili tu tangu apewe uwaziri mkuu, kuna ubaya gani Muhongo kupewa uwaziri tena?
Tuache unafiki