Msimu uliopita tulisema Tanzania hatuna corona, hivyo ligi yetu haikusimama. Hii iliwafanya Simba wawe fiti uwanjani kuliko wale waliokuwa wamesimamisha league zao. Kule Nigeria walichukuwa timu iliyokuwa inaongoza ligi, plateauaaah ni kama umenpata vibaya jombaa! Uto mwaka jana kipindi Simba inapasua anga champions league ndo zilikuwa sababu zao kwamba corona ndo inawebaba sasa tunataka na wao iwabebe kama ni vyepesi hivo
Kweli kweli sema nini nawe ni wamitaa ya Jangwani sio? Kama ndo mitaa yako basi leo kazi ipo kwenu make msipowafunga jamaa zaidi ya goli moja wale jamaa kwao hawafai ni waswahili balaa huu uswahili wetu kwao cha mtoto. Nakumbuka simba tushawahi chezea tatu mtungi na Enyimba enzi za kina Clement Kahabuka ila wajomba walichinja kuku mubashara uwanjani bila kujali wala nini.Msimu uliopita tulisema Tanzania hatuna corona, hivyo ligi yetu haikusimama. Hii iliwafanya Simba wawe fiti uwanjani kuliko wale waliokuwa wamesimamisha league zao. Kule Nigeria walichukuwa timu iliyokuwa inaongoza ligi, plateau
Asante studioHaitakuwa kazi ngumu kwa kocha, viongozi, wachezaji na mashabiki wa Yanga kujitetea kama ikitokea bahati mbaya wakafungwa na kutolewa kwenye mashindano ya kimataifa msimu huu. Sababu zao zitakuwa hivi:
1. Wachezaji wao 3 muhimu wamezuiwa kucheza.
2. Timu haikuwa na preseason nzuri
3. Wachezaji wengi ni wapya hawazoeana
Hivyo hakuna wasiwasi kabisa wanangu kichaka kipo kachezeji mpira bila hofu wala kitete mkifungwa sawa na mkishinda sawa.
Tuendelee kulijenga timu.
Mbona mnawapa ujiko hawa wanaijeria?
Hawa lazima wafungwe leo, Yanga ina uwezo kwenye kila angle kushinda hawa wanaijeria.
Rangers tu ya hapo Dar mmeshindwa.Young Africans 4 : 0 Rivers United
KAMA WATAPOTEZA LEO TUTEGEMEE
KUSIKIA KAULI HIZI.
Timu haina muunganiko wa kutosha
wachezaji wapewe mda na mazoezi zaidi
Nabii alichelewesha kufanya sub
Huyu kipa bora ya metacha
Tatizo ITC imewazuia wachezaji wetu
Marefa hawana elimu ya mpira,
Ile ilikuwa offside kabisa
TFF nao inabid walaumiwe
tukienda kwao kufa na kupona (manara)
kocha atamtoaje feitoto wakat alikuwa anaupiga mwingi!
Mimi nina imani 100% Yanga wanaweza kabisa kuwatoa hawa wanigeria, ni bahati tu.
Mbona mnawapa ujiko hawa wanaijeria?
Hawa lazima wafungwe leo, Yanga ina uwezo kwenye kila angle kushinda hawa wanaijeria.
Bahati? You were outplayed attacking wiseMimi nina imani 100% Yanga wanaweza kabisa kuwatoa hawa wanigeria, ni bahati tu.
Mkuu, mapenzi yasizidi logical reasoning...Mimi nina imani 100% Yanga wanaweza kabisa kuwatoa hawa wanigeria, ni bahati tu.
Muongo ligi zote duniani zilisimamaMsimu uliopita tulisema Tanzania hatuna corona, hivyo ligi yetu haikusimama. Hii iliwafanya Simba wawe fiti uwanjani kuliko wale waliokuwa wamesimamisha league zao. Kule Nigeria walichukuwa timu iliyokuwa inaongoza ligi, plateau
Mechi ya marudiano Yanga watakwwnda kupindua meza, niamini mmYanga hawana kabisa maandalizi na sijui kwa nini hawafanyi maandalizi wakati wanajua wazi kwamba wamo kwenye mashindano magumu kama haya.
Sasa sijui watatoa kisingizio gani baada ya kupoteza mechi ya leo dhidi ya wanigeria ni aibu sana kucheza na timu kama Pan African wakati unaenda kupambana na timu kama Rivers United ili akuongezee nini.