Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Utawauzi watu wa Yanga ,hutaki Kura zao ha hahaWatajua wenyewe maana hawana adabu kwa kweli sijui watasema nini? Ila itakuwa vizuri wakifungwa kutokana na makosa yao ili wajifunze na wawe na nidhamu na waaache kusajili timu nzima kila mwaka