Kama wewe ungefanya nini

sospeter

Member
Apr 13, 2009
6
2
Una mpenzi wako unayempenda sana na unamtimizia kila kitu na umekaa naye takribani miaka kama mitano hivi . Halafu ilitokea amekwenda shule kusoma na ukamsaidia kwa hali na mali na jinsi ulivyoweza. Cha kushangaza shule kuna mambo mengi inatokea wanasoma na kijana mwingine ambaye wanakuwa karibu sana naye kila ukiulizia na umeanza kuhisi mahusiano kati yao. Mpenzi wako anakwambia kuwa usiwe na wasiwasi siwezi kutembea na mtu kama yule mie. Shule inamalizika ukiwa unamsaidia kwa kila kitu . Inapita muda mawasiliano yanaendelea na inakuja kufikia huyu bwana wanatengana mwingine anahamia mikoani na mwingine anabaki.Huyu bwana nakuja mkutanoni dar na hawajaonana , Huku huyu mpenzi wangu angundua kuwa huyu bwana alikuja na anamwambia umekuja bila kuonana , maana yake nini lakini. Baada ya hapo ujumbe kama huu unatumwa “ Nimekumiss sana mpenzi wangu kutoka kwa mwanaume akitaja na jina la mpenzi wangu” na mwanamke anajibu , wewe tu umeni tupa kabisa, na jamaa anasema nikija nitakutafuta hata usiku , ni wewe tu. Na mara kwa mara anakuwa anampigia simu ukimwuuliza anasema ni mawasiliano tu. Kwa kuwa mtu unampenda , unaamini. Ila hii ya kutembelewa hata usiku ni kali na imeniweka mahali patata. Kumpenda nampenda na nimeweka kweli pendo kwake mbele . Sasa hii inanikatisha tamaa kabisa.

Je nishaurini jamani , huyu dada nampenda na natarajia ndoa na yeye , huyu bwana ana mke na watoto wake . Sasa waungwana nipeni jawabu hapo sielewi.
 
Una mpenzi wako unayempenda sana na unamtimizia kila kitu na umekaa naye takribani miaka kama mitano hivi . Halafu ilitokea amekwenda shule kusoma na ukamsaidia kwa hali na mali na jinsi ulivyoweza. Cha kushangaza shule kuna mambo mengi inatokea wanasoma na kijana mwingine ambaye wanakuwa karibu sana naye kila ukiulizia na umeanza kuhisi mahusiano kati yao. Mpenzi wako anakwambia kuwa usiwe na wasiwasi siwezi kutembea na mtu kama yule mie. Shule inamalizika ukiwa unamsaidia kwa kila kitu . Inapita muda mawasiliano yanaendelea na inakuja kufikia huyu bwana wanatengana mwingine anahamia mikoani na mwingine anabaki.Huyu bwana nakuja mkutanoni dar na hawajaonana , Huku huyu mpenzi wangu angundua kuwa huyu bwana alikuja na anamwambia umekuja bila kuonana , maana yake nini lakini. Baada ya hapo ujumbe kama huu unatumwa " Nimekumiss sana mpenzi wangu kutoka kwa mwanaume akitaja na jina la mpenzi wangu" na mwanamke anajibu , wewe tu umeni tupa kabisa, na jamaa anasema nikija nitakutafuta hata usiku , ni wewe tu. Na mara kwa mara anakuwa anampigia simu ukimwuuliza anasema ni mawasiliano tu. Kwa kuwa mtu unampenda , unaamini. Ila hii ya kutembelewa hata usiku ni kali na imeniweka mahali patata. Kumpenda nampenda na nimeweka kweli pendo kwake mbele . Sasa hii inanikatisha tamaa kabisa.

Je nishaurini jamani , huyu dada nampenda na natarajia ndoa na yeye , huyu bwana ana mke na watoto wake . Sasa waungwana nipeni jawabu hapo sielewi.

...ningekwambia usiwe na wasiwasi, lakini 'elimu dunia' imenifundisha kutowaamini wanawake wanaojidai kusema; "....siwezi kutembea na mtu kama yule mie"
 
Una mpenzi wako unayempenda sana na unamtimizia kila kitu na umekaa naye takribani miaka kama mitano hivi . Halafu ilitokea amekwenda shule kusoma na ukamsaidia kwa hali na mali na jinsi ulivyoweza. Cha kushangaza shule kuna mambo mengi inatokea wanasoma na kijana mwingine ambaye wanakuwa karibu sana naye kila ukiulizia na umeanza kuhisi mahusiano kati yao. Mpenzi wako anakwambia kuwa usiwe na wasiwasi siwezi kutembea na mtu kama yule mie. Shule inamalizika ukiwa unamsaidia kwa kila kitu . Inapita muda mawasiliano yanaendelea na inakuja kufikia huyu bwana wanatengana mwingine anahamia mikoani na mwingine anabaki.Huyu bwana nakuja mkutanoni dar na hawajaonana , Huku huyu mpenzi wangu angundua kuwa huyu bwana alikuja na anamwambia umekuja bila kuonana , maana yake nini lakini. Baada ya hapo ujumbe kama huu unatumwa “ Nimekumiss sana mpenzi wangu kutoka kwa mwanaume akitaja na jina la mpenzi wangu” na mwanamke anajibu , wewe tu umeni tupa kabisa, na jamaa anasema nikija nitakutafuta hata usiku , ni wewe tu. Na mara kwa mara anakuwa anampigia simu ukimwuuliza anasema ni mawasiliano tu. Kwa kuwa mtu unampenda , unaamini. Ila hii ya kutembelewa hata usiku ni kali na imeniweka mahali patata. Kumpenda nampenda na nimeweka kweli pendo kwake mbele . Sasa hii inanikatisha tamaa kabisa.

Je nishaurini jamani , huyu dada nampenda na natarajia ndoa na yeye , huyu bwana ana mke na watoto wake . Sasa waungwana nipeni jawabu hapo sielewi.

Mhh hapo nakushauri uchunguze kwa makini maana hayo maneno yana uzito.
 
Mkuu huu mzigo imradi hujaoa piga chini tu mwache atakuja tembea na houseboy wako sio mwaminifu atasemaje? "....siwezi kutembea na mtu kama yule mie"
 
Mdau anataka maoni yenu wakuu, nawakilisha

sospeter said:
Naomba tujadili na hili wadau wa JF
Kama wewe ungefanya nini
Una mpenzi wako unayempenda sana na unamtimizia kila kitu na umekaa naye takribani miaka kama mitano hivi . Halafu ilitokea amekwenda shule kusoma na ukamsaidia kwa hali na mali na jinsi ulivyoweza. Cha kushangaza shule kuna mambo mengi inatokea wanasoma na kijana mwingine ambaye wanakuwa karibu sana naye kila ukiulizia na umeanza kuhisi mahusiano kati yao. Mpenzi wako anakwambia kuwa usiwe na wasiwasi siwezi kutembea na mtu kama yule mie. Shule inamalizika ukiwa unamsaidia kwa kila kitu . Inapita muda mawasiliano yanaendelea na inakuja kufikia huyu bwana wanatengana mwingine anahamia mikoani na mwingine anabaki.Huyu bwana nakuja mkutanoni dar na hawajaonana , Huku huyu mpenzi wangu angundua kuwa huyu bwana alikuja na anamwambia umekuja bila kuonana , maana yake nini lakini. Baada ya hapo ujumbe kama huu unatumwa “ Nimekumiss sana mpenzi wangu kutoka kwa mwanaume akitaja na jina la mpenzi wangu” na mwanamke anajibu , wewe tu umeni tupa kabisa, na jamaa anasema nikija nitakutafuta hata usiku , ni wewe tu. Na mara kwa mara anakuwa anampigia simu ukimwuuliza anasema ni mawasiliano tu. Kwa kuwa mtu unampenda , unaamini. Ila hii ya kutembelewa hata usiku ni kali na imeniweka mahali patata. Kumpenda nampenda na nimeweka kweli pendo kwake mbele . Sasa hii inanikatisha tamaa kabisa.

Je nishaurini jamani , huyu dada nampenda na natarajia ndoa na yeye , huyu bwana ana mke na watoto wake . Sasa waungwana nipeni jawabu hapo sielewi.
 
Usichoelewa ni nini ndugu?

Jawabu ni kwamba wewe unatumiwa tu, mapenzi hamna hapo....
 
Unapigwa bao la kisigino au kisogoni...ongea naye na umwambie hupendezwi na hio tabia na aiiache(lakini, je, wewe nawe mahusioano yako menginemengine yakoje...isijekuwa wewe ndo unamatatizo kaka) Look at your goodself first, perphaps kuna vijiproblem na wewe. Mwanamke anayepata penzi la kweli kamwe hawezi ruka njee unless hormone zake sio balanced sawasawa mwilini. Pole sana, jamani siningekupata wewe unaetimiza yote uliosema...ni hadimu sana wanaume kama nyinyi, alafu ndo huangukia tundu bofu kabsaaa.
 
Unapigwa bao la kisigino au kisogoni...ongea naye na umwambie hupendezwi na hio tabia na aiiache(lakini, je, wewe nawe mahusioano yako menginemengine yakoje...isijekuwa wewe ndo unamatatizo kaka) Look at your goodself first, perphaps kuna vijiproblem na wewe. Mwanamke anayepata penzi la kweli kamwe hawezi ruka njee unless hormone zake sio balanced sawasawa mwilini. Pole sana, jamani siningekupata wewe unaetimiza yote uliosema...ni hadimu sana wanaume kama nyinyi, alafu ndo huangukia tundu bofu kabsaaa.

Penny, you just PM the boy, he might be the right candidate of yours
 
Pole sana Mkuu kwa hayo yaliyokukuta. Lakini tu nataka kukuzindua kwamba kama ni mimi ninafanyiwa hayo uliyoyaelezea basi nahesabu kuwa yote ni ya Musa na wala sitosubiri kuyaona ya Firauni. Au kwa usemi mwengine "bora lawama za mwanzo kwani za mwisho huwa si lawama bali ni fedheha". Bora shika njia nenda zako hao ni jamii ya watu ambao hawajui wapi watapata ama ni kwako au kwa huyo mwenzio ni mfano wa kuwa kama ndege aamkapo asubuhi huwa hajui wapi atapata riziki yake, hiyo inayokuja mwanzo ndiohiyohiyo. Pia kumbuka hakuna urafiki wa jinsia mbili tofauti na ukiwepo huwa haudumu kwa upande mmoja au mwengine mfano mzuri ni ndoa za ma-staa wa Holywood.
 
...dah, :( ...thread hii ya leo, tofauti yake nini uki compare na hii , pia iliyoanzishwa leo ???;


Mbu,
Acheni watu watoe madukuduku yao yaliyowajaa moyoni.Unajua hapa ni kama kwa daktari, unapoumwa hata kama dalili zote zinaashiria una ugonjwa kama wa mwenzio, huwezi kusema najitibu.Lazima utaenda kwa daktari na uelezee symptoms zako zote na ndipo dokta atakapokupa tiba.
Inawezekana tatizo la huyu ndugu linafanana na la yule wa mwanzo lakini inaleta faraja kuona unapata "a personalised service" kwa maana watu wanampa ushauri yeye na kwa ishu yake.
 
Mbu,
Acheni watu watoe madukuduku yao yaliyowajaa moyoni.Unajua hapa ni kama kwa daktari, unapoumwa hata kama dalili zote zinaashiria una ugonjwa kama wa mwenzio, huwezi kusema najitibu.Lazima utaenda kwa daktari na uelezee symptoms zako zote na ndipo dokta atakapokupa tiba.
Inawezekana tatizo la huyu ndugu linafanana na la yule wa mwanzo lakini inaleta faraja kuona unapata "a personalised service" kwa maana watu wanampa ushauri yeye na kwa ishu yake.

...hapajaharibika neno WoS na Penny ,

moderators weshaziunganisha thread zote mbili zenye maana moja, hii aliyoanzisha sospeter na ile iliyoanzishwa baadae na bm21.

Kumradhi kwa kutoeleweka.
 
hii thread ilitumwa kama PM kwa baadhi ya watu, me included sijui kama it was by mistake coz nilijibu kama PM tu sospeter.....bm21 pia aliipata kisha akona heri aitoe into the public domain...

mbu usione wivu sisi tuliotumiwa are the JF relationship gurus only lmbao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kaka what r u waiting,magonjwa au?Na una mapngo kabisa wa kumwoa huyo dada,mbona hiyo tayari imeshakula kwako,mimi nashangaa jamani hivi hii dunia inaelekea wapi? Do you think kwamba hizo tabia atakuja kuziacha hata mkioana?Yaani hapo ukiamua kuoa we jua hivi hauko peke yako sasa sijui kama utafurahia kuelewa kuwa una mwenzako,kuna thread nilichangia nikasema hivi hakuna tabia mpya itakayoonekana kwenye ndoa,ukiona tabia fulani kwenye ndoa elewa kuwa ilikuwepo hata wakati mkiwa single,Na pia mshukuru Mungu hili limejitokeza mapema,Mungu anakupenda sana ila ukiamua kung'ang'ania kazi kwako.
 
hii thread ilitumwa kama PM kwa baadhi ya watu, me included sijui kama it was by mistake coz nilijibu kama PM tu sospeter.....bm21 pia aliipata kisha akona heri aitoe into the public domain...

mbu usione wivu sisi tuliotumiwa are the JF relationship gurus only lmbao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

...Ooh I see...! :) ....am sorry jamani kwa 'kudandia gari-moshi kwa mbele!', ~nilizoea UDA miaka hiyo, haya ma 'London Bus' yanatunyima uroda!~
 
Una mpenzi wako unayempenda sana na unamtimizia kila kitu na umekaa naye takribani miaka kama mitano hivi . Halafu ilitokea amekwenda shule kusoma na ukamsaidia kwa hali na mali na jinsi ulivyoweza. Cha kushangaza shule kuna mambo mengi inatokea wanasoma na kijana mwingine ambaye wanakuwa karibu sana naye kila ukiulizia na umeanza kuhisi mahusiano kati yao. Mpenzi wako anakwambia kuwa usiwe na wasiwasi siwezi kutembea na mtu kama yule mie. Shule inamalizika ukiwa unamsaidia kwa kila kitu . Inapita muda mawasiliano yanaendelea na inakuja kufikia huyu bwana wanatengana mwingine anahamia mikoani na mwingine anabaki.Huyu bwana nakuja mkutanoni dar na hawajaonana , Huku huyu mpenzi wangu angundua kuwa huyu bwana alikuja na anamwambia umekuja bila kuonana , maana yake nini lakini. Baada ya hapo ujumbe kama huu unatumwa “ Nimekumiss sana mpenzi wangu kutoka kwa mwanaume akitaja na jina la mpenzi wangu” na mwanamke anajibu , wewe tu umeni tupa kabisa, na jamaa anasema nikija nitakutafuta hata usiku , ni wewe tu. Na mara kwa mara anakuwa anampigia simu ukimwuuliza anasema ni mawasiliano tu. Kwa kuwa mtu unampenda , unaamini. Ila hii ya kutembelewa hata usiku ni kali na imeniweka mahali patata. Kumpenda nampenda na nimeweka kweli pendo kwake mbele . Sasa hii inanikatisha tamaa kabisa.

Je nishaurini jamani , huyu dada nampenda na natarajia ndoa na yeye , huyu bwana ana mke na watoto wake . Sasa waungwana nipeni jawabu hapo sielewi.

Ebwana huyo demu piga chini anakutumia tu! Huyo jamaa ataendelea kumla na ukizingatia jamaa lina familia yake akhaaa! wala hana wasiwasi!! Kwanza anaposema hawezi kutembea na mtu km yule, inamaana angekuwa vp ndiyo angeweza kutembea naye?!!
 
I wish ila tayari niko ndani ya goli...pengine nimuunganishie mdogo wangu!:)

........ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaa, acha kututega na mdogo wako. U in your family still there is resources to be exploited (cute single ladies). But cool do that.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom