Kama wewe unadhani ni msichana boraumepata mume wa ndoto yako!

Yan ww shulen,chuon na hata kwenye biashara yako hujampata wa kuoa?
Jiandae kwa yote mkuuu unaweza lamba galasa au dume yote n mipango ya mungu na udomo zege wako
 
Mhhhh,.....bora tukutane in real life...
Btw hivi na sifa zote hzo kweliii umekosa mwanamke??kuna walakini
 
Mme wa ndoto yako kumbe kimeo cha kufa mtu. Pole Mkuu ni mtazamo wangu
 
Mimi ni kijana wa kiume wa umri wa miaka 32ambaye naona sasa ni muda muafaka wa kupata mwenza wa maisha!!!mimi ni msomi wa degree ya pili,nimajiriwa na nina biashara zangu pia,ni mrefu sio sana,maji ya kunde,mtanashati,mtaratibu sana sinywi pombe wala kuvuta sigara,msafi,nina hofu na mungu,ninajua nini hasa mke anahitaji toka kwa mume,at last ni mwelewa!!!

Natafuta msichana mrembo,awe na mwonekano mzuri,from diploma level and above,mweupe kiasi,awe na shape ya kike hasa,msafi na anayejua nini maana ya ndoa!!!awe na akili ya maendeleo,,ajue kutunza familia,mwenye hofu ya mungu nk,aliye serious tu ani pm

Utakosaje
 
Once again.. Suala sio why kakosa ni MAAMUZI.. trying new things.
Guys wangapi walikutana kwa njia za ajabu!
Mwingine kukosea namba ya simu wakazidi kuwasiliana..kuja kuonana saivi wachumba.
Online dating sites,wanakutana wanaoana tena na watu wenye proffessions za maana,.mfano halisi ni rafiki yangu nmehudhuria harusi yake miezi iliyopita mumewe ni Pediatric surgeon mkubwa tu.
Its the matter of staying positive focused and know what u want,keeping the communication alive ,meeting frequently,mjuane na heart to heart connection is the key.
And its fun for ur brain too,hasa suala la kuchagua unapata varieties and stick to one.
So mkuu mi naamini inawezekana,mshirikishe Mungu,na uwe na nia,ready for dissapointments but Trust Me,UTAPATA.
Goodluck
 
Inatokea jamani ukawa na vigezo vyote vya kuwa mume au mke na ukawa hujapata mtu unayeona anakufaa.
 
Vigezo lukuki mh

Katoa vigezo vyake mbadala. Wanawake wa siku hizi wanataka dushe la maana. Vyema aweke size aliyo nayo kwa urefu na upana. Itamsaidia kupata kiuraisi ama hapana.
 
Back
Top Bottom