HARRISON ONE
Member
- Jan 8, 2014
- 42
- 30
mim
Mhhhh,.....bora tukutane in real life...
Btw hivi na sifa zote hzo kweliii umekosa mwanamke??kuna walakini
Unatafuta nini huku? Money Stunna akikuona huku!
Mimi ni kijana wa kiume wa umri wa miaka 32ambaye naona sasa ni muda muafaka wa kupata mwenza wa maisha!!!mimi ni msomi wa degree ya pili,nimajiriwa na nina biashara zangu pia,ni mrefu sio sana,maji ya kunde,mtanashati,mtaratibu sana sinywi pombe wala kuvuta sigara,msafi,nina hofu na mungu,ninajua nini hasa mke anahitaji toka kwa mume,at last ni mwelewa!!!
Natafuta msichana mrembo,awe na mwonekano mzuri,from diploma level and above,mweupe kiasi,awe na shape ya kike hasa,msafi na anayejua nini maana ya ndoa!!!awe na akili ya maendeleo,,ajue kutunza familia,mwenye hofu ya mungu nk,aliye serious tu ani pm
Mhhhh,.....bora tukutane in real life...
Btw hivi na sifa zote hzo kweliii umekosa mwanamke??kuna walakini
Vigezo lukuki mh