Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Hapa Mwanza ni vilio vitupu! Mishahara ya watumishi(wengi ni wale wa kada za afya) mwezi huu wa oktoba pesa zimekatwa na Hazina bila taarifa,watu wamekatwa kuanzia sh. 80000 na kuendelea wengine mshahara mzima,au zimepelekwa kwenye maadhisho ya miaka 50 ya kuthubutu nasikia ni Tz nzima...naomba kama kuna mwanajf mwenye taarifa atujuze.