Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda wewe,nitabaki kuwa mtanzania daima bila hata hilo gamba
nenda wewe,nitabaki kuwa mtanzania daima bila hata hilo gamba
Sina hata kimoja....watanifukuza tz
Tena na wewe jinsi ulivyo wala wale jamaa hawatapata tabu kukutambua kama sio mwenzetu..lol.
Sina hata kimoja....watanifukuza tz
Jamani nendeni mkajiandishe ama mkapige hizo picha za vitambulisho,baadae itakuwa noma,huu si mzahana.
Walioko dar zoezi linaendelea wahi mapema leo ama kesho.
Mkuu mbona unajiamini hivyo?
Kwani vitambulisho vya taifa vp Dar au na mikoani? nijuze.
Sina hata kimoja....watanifukuza tz
Aaaaaaah! Aaaaaaaaaah! Kwenye bunduki kuna salama kweli? Afadhali kupelekwa Rwanda, Baba VUje kwangu nitakulinda, namiliki binduki
Mkuu mbona unajiamini hivyo?
Mkuu mi mwenyewe siend kujiandikisha piga picha ntakuwa na driving licence, vya benk crdb,nmb, nbc, barclays, cha kazi, cha mpiga kura, cha mkazi, kadi yangu ya chama, card ya afya, vyote hivyo sasa si utakuwa mzigo huo, au utakuja kunisaidia wewe kuvibeba na hii vurugu ya usafiri hapa dsm we ndio utanisaida niwe mwepes pale posta ile jion ninavyogombea gari? walahi wabilahi siendi mimi kuchukua.