ha ha umetisha mkuuWengi hawana Takwimu za wanaume waliolala nao,Aisee hii huwa inanishangaza sana sijui inawezekana vipi? Na bado watatumika sana si wanataka pesa hakuna namna....KUOLEWA NDANI WAMEZEEKA NJE BADO VIJANA HAKUJAWAHI KUACHA NDOA YA MTU SALAMA!
je huo ushauri wanaomba wanasaidiwa?Maajabu ya maisha ni kwamba hao hao waliotembea na wanaume wengi ndo wanaolewa then decent girls wapogo tu umrii unaendaa
Mara ngap hap jamvin wanakuja wanaume wanataka ushauri wamependa hao wadada wanaojiuza wanataka wabadilike
uko sahihi brotherHivi yawezekanaje mtu hanywi pombe akampenda bar medi ujue wamekutana bar ndiko walikolianzisha kanogewa ndo anataka ambadili tabia jambo ambalo ni afadhali uambiwe ukapambane na IS ni rahisi kushinda kuliko kubadili tabia ya mwanamke.
hapo hakuna kutia maguuNa ni ukweli asilimia kubwa ya wanawake wanao hangaika kutafuta watoto au amepata mmoja tu na mimba kila zikishika zinatoka,
Mwanaume kurupuka upo na kimeo achana na ulokole wake feki eti anaenda kwenye maombi huku alichokuwa anakifanya hata shetani alikuwa anaogopa.
Waambie mkuu[bold]Mimi sikukatazi kutumia mwili wako kama kitega uchumi.
Sikukatazi kulala na wanaume kwaajili ya pesa,mavazi,vipodoxi na hata magari
Lala na kila mwanaume unayemwona mbele yako.
Endelea tu kubadili wanaume kama hereni leo unavaa nyekundu kesho pinki.
Endelea kuweka rekodi ya kulala kwenye mahotel mengi na wanaume tofauti tofauti.....Oriental hotel, sheraton hotel n.k
Endelea kuwapanga tu mpaka idadi ya wanaume uliolala nao iwe kubwa kuliko hata umri wako mfano una miaka 25 na umeshalala na wanaume 30 tofauti tofauti.
.
.
Endelea tu kuwa mama huruma mtaani na kuwachuna wanaume kwasababu tu unataka kwenda na wakati:
Unataka kutumia simu ya kisasa:
Unataka kuseti nywele za bei kubwa.
Unataka kuvaa nguo za bei ghali, na Kutembelea magari.
we wachune tu.
Na zile kauri zako za dharau pia usiziache "Its
none of ur business"
Ni kweli hainihusu na wala sina mpango na hayo unayofanya.
.
.
Ila utakapoanza kuona inanihusu ni pale utakapoanza kufungua mdomo wako na kusema unatamani mwanaume wa kukuoa akupende hivo hivo ulivyo
Hususani pale utakapokuwa umri wako umeenda na umeshapoteza kila kitu hujabakiwa na chochote cha kusema utaringia
Hapa ndo utaanza kutamani mwanaume yeyote akutongoze uende ukamkubalie geto ili tu upate kuolewa.
Pamoja na yote kuolewa ndo utaolewa ila Mungu lazima atakupa mwanaume wa kuendana na ww mwanaume ambaye nae atakuwa alishafanya matukio ya ajabu na yasiyo simulika siku zake za nyuma
Na huyo ndo atakuwa mume wako.
.
.
Baada ya miaka miwili tu ya ndoa yako utakuwa unaanza sasa kujipashapasha kwa kwenda makanisani maana yawezekana ulishapoteza kizazi chako katika harakati za kutoa mimba mfululizo ili tu kuendelea kuufaidi ujana.
Wakati huu ndo utakapoanza kuwatafuta wachungaji na kuhamahama makanisa leo kwa mchungaji huyu kesho kwa yule mara leo kanisa hili kesho lile
Lengo tu kuutafuta muujiza uweze kupata mtoto.
Unasahau kuwa ulishatoa mimba nyingi na ulishatupa watoto kibao.
Utalia sana na kutamani nikuonee huruma
Lakini mm nasema kama ni kulia we lia tu hata machozi ya damu.
Mm ninaowaonea huruma na kuwasikitikia ni wale ambao hawajapata watoto kwa mpango wa mungu na sio wanaojitakia kama ww Ebooo
Nategemea hapa wakunichukia watakuwepo maana ukweli unauma.
Ziwafikie salamu
Si nakwambiaga huelewi..na likupate sasaJiwe gizani!!!..............
Aaaah kakaa sitaki mi sijawahi Fanya kutoa mimba hata Siku moja na sifikiriiSi nakwambiaga huelewi..na likupate sasa
Nnaiseeeee
Eti eee..uko vizuriAaaah kakaa sitaki mi sijawahi Fanya kutoa mimba hata Siku moja na sifikirii