sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,360
Hellow Kenyans,
Kwanza nitoe pole kwenu dhidi ya janga ili linaloendelea kututafuna sote.
Pili, naomba niende kwenye mada, mimi ni Mtanzania, kijana wa miaka 33, with my familly living in Dar.
Kwa muda mrefu nmekuwa nikiitaji kufanya biashara kimataifa na nimekuwa nikivutiwa sana kufanya na raia wa Kenya na Uganda.
Kwa kifupi mimi nimejiajili nchini Tanzania with my company, nisingependa kampuni yangu yadili na nn hapa ila ni limited company kuna vitu vingi naweza fanya na ninafanya in Tanzania natamani nivifanye East Africa ila connection ni ngumu sana.
Anyway, kama ww ni kijana wa kikenya wakike au kiume, na una mawazo ya kufanya biashara East Efrica, una ompany like me or not basi karbu tujumuike.
Tuungane nami baada ya balaaa tuyajenge karbuni sanaa.
from uganda na kenya karbuni Mitanzania sitaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nitoe pole kwenu dhidi ya janga ili linaloendelea kututafuna sote.
Pili, naomba niende kwenye mada, mimi ni Mtanzania, kijana wa miaka 33, with my familly living in Dar.
Kwa muda mrefu nmekuwa nikiitaji kufanya biashara kimataifa na nimekuwa nikivutiwa sana kufanya na raia wa Kenya na Uganda.
Kwa kifupi mimi nimejiajili nchini Tanzania with my company, nisingependa kampuni yangu yadili na nn hapa ila ni limited company kuna vitu vingi naweza fanya na ninafanya in Tanzania natamani nivifanye East Africa ila connection ni ngumu sana.
Anyway, kama ww ni kijana wa kikenya wakike au kiume, na una mawazo ya kufanya biashara East Efrica, una ompany like me or not basi karbu tujumuike.
Tuungane nami baada ya balaaa tuyajenge karbuni sanaa.
from uganda na kenya karbuni Mitanzania sitaki.
Sent using Jamii Forums mobile app