EMMANUEL JASIRI
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 127
- 62
Sumbawanga ni tofauti,
Wanapenda wageni
Ni wapole
Ni wakarimu
Hawana roho ya kwanini
Sio wachokozi
Hawana mambo ya kurogana rogana hovyo japo uchawi wanaujua vizuri
Walio bahatika kumjua MUNGU wana msimamo katika imani ya dini
Ila kama wewe ni mchokozi,mkorofi sumbawanga haikufai
Watu wa Sumbawanga
Ukimkosea atakuonya taratibu na kwa upole
Ukirudia, atakuonya tena mpaka Mara 3
Usipo sikia,atatuma mtu au Watu wakuonye
Ukiendelea kumsumbua ndio utajua kuwa duniani kuna uchawi
Ndugu zangu Watanzania
Tuache ukorofi,ubabe,uchokozi na ujeuri
Hii Dunia Ina mengi, usimdharau usiye mjua
Wala usimdharau MTU
Unaweza ukajiletelea matatizo na familia yako ikateseka
Huo ni ushauri tu
Kama wewe ni mbabe kapambane na wafipa wa Sumbawanga uone
Wanapenda wageni
Ni wapole
Ni wakarimu
Hawana roho ya kwanini
Sio wachokozi
Hawana mambo ya kurogana rogana hovyo japo uchawi wanaujua vizuri
Walio bahatika kumjua MUNGU wana msimamo katika imani ya dini
Ila kama wewe ni mchokozi,mkorofi sumbawanga haikufai
Watu wa Sumbawanga
Ukimkosea atakuonya taratibu na kwa upole
Ukirudia, atakuonya tena mpaka Mara 3
Usipo sikia,atatuma mtu au Watu wakuonye
Ukiendelea kumsumbua ndio utajua kuwa duniani kuna uchawi
Ndugu zangu Watanzania
Tuache ukorofi,ubabe,uchokozi na ujeuri
Hii Dunia Ina mengi, usimdharau usiye mjua
Wala usimdharau MTU
Unaweza ukajiletelea matatizo na familia yako ikateseka
Huo ni ushauri tu
Kama wewe ni mbabe kapambane na wafipa wa Sumbawanga uone