Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,440
- 2,692
Naunga mkono hoja. Huyu hajakutana na wazee wa kazi. Ngoja tukae kimya.mkuu bado hujabahatika, siku ukibahatika utakuja futa hii reply yako kwa aibu nzito
Mtoa mada kasahau na wale wakati wa tendo ndiyo muda wa kueleza matatizo na changamoto zote za familia.