Kama wewe Ndiyo daktari ungemjibu nini Baba Harusi?

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,443
Haruc ishapita mwezi, Bwana na bb haruc wakawa wanataka kupata mtoto lakini hawajui tendo gani wafanye ili mimba itokee wakaenda kwa dokta!.

Dokta akawapa picha waangalie,
Wakadai hawaelewi akawapa Video zenye shughuli hiyo 'live' bado hawakuelewa...

Dokta akamaindi akawaita ofisini kwake akaanza kumshughulikia mke wa jamaa mbele yake ili jamaa aone kinachofanyika!.

Alipomaliza wakati anavaa na mke wa jamaa yuko hoi

Dokta: Umeona sasa kazi inayotakiwa kufanywa?

Jamaa "Mume": Dah!! Asante sana pole kwa kazi ngumu dokta... sasa niwe namleta mara ngapi kwa wiki?

Swali:-> Kama wewe ungekuwa Dokta ungemwambia awe anamleta mara ngapi?.
 
Haruc ishapita mwezi, Bwana na bb haruc wakawa wanataka kupata mtoto lakini hawajui tendo gani wafanye ili mimba itokee wakaenda kwa dokta!.

Dokta akawapa picha waangalie,
Wakadai hawaelewi akawapa Video zenye shughuli hiyo 'live' bado hawakuelewa...

Dokta akamaindi akawaita ofisini kwake akaanza kumshughulikia mke wa jamaa mbele yake ili jamaa aone kinachofanyika!.

Alipomaliza wakati anavaa na mke wa jamaa yuko hoi

Dokta: Umeona sasa kazi inayotakiwa kufanywa?

Jamaa "Mume": Dah!! Asante sana pole kwa kazi ngumu dokta... sasa niwe namleta mara ngapi kwa wiki?

Swali:-> Kama wewe ungekuwa Dokta ungemwambia awe anamleta mara ngapi?.
Doooooh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom