Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Haruc ishapita mwezi, Bwana na bb haruc wakawa wanataka kupata mtoto lakini hawajui tendo gani wafanye ili mimba itokee wakaenda kwa dokta!.
Dokta akawapa picha waangalie,
Wakadai hawaelewi akawapa Video zenye shughuli hiyo 'live' bado hawakuelewa...
Dokta akamaindi akawaita ofisini kwake akaanza kumshughulikia mke wa jamaa mbele yake ili jamaa aone kinachofanyika!.
Alipomaliza wakati anavaa na mke wa jamaa yuko hoi
Dokta: Umeona sasa kazi inayotakiwa kufanywa?
Jamaa "Mume": Dah!! Asante sana pole kwa kazi ngumu dokta... sasa niwe namleta mara ngapi kwa wiki?
Swali:-> Kama wewe ungekuwa Dokta ungemwambia awe anamleta mara ngapi?.
Dokta akawapa picha waangalie,
Wakadai hawaelewi akawapa Video zenye shughuli hiyo 'live' bado hawakuelewa...
Dokta akamaindi akawaita ofisini kwake akaanza kumshughulikia mke wa jamaa mbele yake ili jamaa aone kinachofanyika!.
Alipomaliza wakati anavaa na mke wa jamaa yuko hoi
Dokta: Umeona sasa kazi inayotakiwa kufanywa?
Jamaa "Mume": Dah!! Asante sana pole kwa kazi ngumu dokta... sasa niwe namleta mara ngapi kwa wiki?
Swali:-> Kama wewe ungekuwa Dokta ungemwambia awe anamleta mara ngapi?.