Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Huyu dada ndo amenambia hayo maneno. Baada ya kuniomba tena leo kwa mara nyingine lunch twende wote. Jana aliniomba twende lunch akalipia akaomba kulipia pia. Tulibishana sana na akawa mkali kuwa yeye ndo ameniomba anitoe.
Leo tena kanikuta restaurant kaomba anywe Milk Shake. Nikamwambia anywe. Then akaja kaa nami. Nikamwambia haogopi kuniomba huki mi sijamwomba kitu hata siku moja.
Akanambia "hilo yeye linamhusu vipi? Kama simwombi kitu ni mimi mwenyewe kutotaka. Hajawahi ninyima chochote. Akaendelea mbele kibabe na kusema. Yeye ataniomba tu piga ua. Ili mradi anajua ninacho hawezi ogopa"
Akachukua packet yangu ya juice akainuka na kuondoka akichezesha makalio yake kuelekea kaunta. Kule kanilipia Juice. Kaacha nimlipie Milk shake.
Mpaka hapa nawaza nimwombe kitu gani? Au simu yake. Ana simu kali sana.
Leo tena kanikuta restaurant kaomba anywe Milk Shake. Nikamwambia anywe. Then akaja kaa nami. Nikamwambia haogopi kuniomba huki mi sijamwomba kitu hata siku moja.
Akanambia "hilo yeye linamhusu vipi? Kama simwombi kitu ni mimi mwenyewe kutotaka. Hajawahi ninyima chochote. Akaendelea mbele kibabe na kusema. Yeye ataniomba tu piga ua. Ili mradi anajua ninacho hawezi ogopa"
Akachukua packet yangu ya juice akainuka na kuondoka akichezesha makalio yake kuelekea kaunta. Kule kanilipia Juice. Kaacha nimlipie Milk shake.
Mpaka hapa nawaza nimwombe kitu gani? Au simu yake. Ana simu kali sana.