msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
Mi kijana wa kiume,umri wangu ni miaka 28,nipo dar.
Nahitaji mwanamke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo
-awe mcha mungu,kristo
-umri kati ya miaka 20-25
-awe mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa au mkoa mwingine wowote isipokuwa arusha na kilimanjaro
-asiwe mnene sana ila kama mwembamba mrefu ni sawa lkn sio lazima
-elimu isiyopungua kidato cha 6 na isiyozidi degree 1
-asiwe na mtoto wala hajawahi kuolewa
mambo mengine ni ya kuongea sisi wawili
kama unamaanisha na una sifa hizo naomba tuwasiliane,na nikimpata nitatoa taarifa kwa wana jf ili kusiwepo na usiri na ijulikane kuwa nina mtu tayari
nawasilisha
Nahitaji mwanamke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo
-awe mcha mungu,kristo
-umri kati ya miaka 20-25
-awe mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa au mkoa mwingine wowote isipokuwa arusha na kilimanjaro
-asiwe mnene sana ila kama mwembamba mrefu ni sawa lkn sio lazima
-elimu isiyopungua kidato cha 6 na isiyozidi degree 1
-asiwe na mtoto wala hajawahi kuolewa
mambo mengine ni ya kuongea sisi wawili
kama unamaanisha na una sifa hizo naomba tuwasiliane,na nikimpata nitatoa taarifa kwa wana jf ili kusiwepo na usiri na ijulikane kuwa nina mtu tayari
nawasilisha