Kama wawekezaji wengi ni walaghai : kwa nini tume isingependekeza tuanzishe migodi yetu 100%

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,697
Leo hii picha ingekuwa na maana sana. Na mimi ningelia maana haya malori yote yangukuwa yetu 100 % tuliyochimba sisi....
Kwa nini pamoja na utajiri wote tuliougundua tunao tume haikutoa wazo la watanzania kuchimba madini yao na kuyauza kwa umiliki wa 100%.
Au tumeishakubali sisi hatuwezi kabisa.
Welevu mtusaidie sisi wananchi huku ktk tafakuri madini...
IMG-20170613-WA0017.jpg
 
Leo hii picha ingekuwa na maana sana. Na mimi ningelia maana haya malori yote yangukuwa yetu 100 % tuliyochimba sisi....
Kwa nini pamoja na utajiri wote tuliougundua tunao tume haikutoa wazo la watanzania kuchimba madini yao na kuyauza kwa umiliki wa 100%.
Au tumeishakubali sisi hatuwezi kabisa.
Welevu mtusaidie sisi wananchi huku ktk tafakuri madini...
View attachment 523174
Nimejiuliza hili pia
 
Leo hii picha ingekuwa na maana sana. Na mimi ningelia maana haya malori yote yangukuwa yetu 100 % tuliyochimba sisi....
Kwa nini pamoja na utajiri wote tuliougundua tunao tume haikutoa wazo la watanzania kuchimba madini yao na kuyauza kwa umiliki wa 100%.
Au tumeishakubali sisi hatuwezi kabisa.
Welevu mtusaidie sisi wananchi huku ktk tafakuri madini...
View attachment 523174
Tatizo ni hakuna uwajibikaji bungeni siyo umiliki wa migodi.
Zinduka sasa umelala muda mrefu
 
Tatizo ni hakuna uwajibikaji bungeni siyo umiliki wa migodi.
Zinduka sasa umelala muda mrefu
Hayo yote hayana uhusiano na hili...
Je, tatizo letu sio Chanzo cha mapato mengi kuilisha budget yetu. Kwa matrillion tajwa kama yote Yangekuwa yetu huoni hapo tulikuwa tunaweza kula vyuku kwa mirija...
Mambo yote kuhusu bunge yatahusu hivyo vijiasilimia lalamikiwa sio 100% idea. Unless tuseme sisi bado ni incompetent kurun gold mines. Ninachojua kuendesha mgodi sio kazi ya kitoto tena sana...
 
Sijawasikia kamati, lisu, serikali au chadema wakizungumzia hili zaidi ya kusikia...
Tunaibiwa, budget haitoshii, nchi yetu ni tajiri,...
Je sio jukumu letu na sisi pia kuuza utajiri wetu ili faida iwe ya moja kwa moja...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom