Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Watanzania,mnakumbuka serikali nzima na wananchi walihimizwa kufika uwanja wa ndege kupokea ndege za serikali kila zilipokuwa zinawasili?
Sasa kama watu waliweza kukusanyika kwa wingi kupokea ndege tena wakiongozwa na Raisi wa nchi,iweje leo iwe kosa kumpokea binadamu mwenzao?
Ndio maana kila siku huwa nasema: hawa watu huenda wamenyimwa maarifa ili waanguke kutoka madarakani maana hali hii inashangaza mno na hueza hata kuielezea ikaelewaka kwa mtu mwenye akili timamu.
Sasa kama watu waliweza kukusanyika kwa wingi kupokea ndege tena wakiongozwa na Raisi wa nchi,iweje leo iwe kosa kumpokea binadamu mwenzao?
Ndio maana kila siku huwa nasema: hawa watu huenda wamenyimwa maarifa ili waanguke kutoka madarakani maana hali hii inashangaza mno na hueza hata kuielezea ikaelewaka kwa mtu mwenye akili timamu.